PostGE2025 Hata hao wanaowatumia wanawashangaa mlivyo mazuzu

PostGE2025 Hata hao wanaowatumia wanawashangaa mlivyo mazuzu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ANTDOTE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2023
Posts
280
Reaction score
713
* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani na fulani kafa.! Halafu kesho yake wanonekana.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani anashikiliwa mpakani.! Halafu baadae anaibuka anakanusha.

* Mtu mzima tena hoehahe unakaa kwenye key board siku nzima kushangilia eti, nchi haipati msaada.! Utafikiri wewe unaishi Mbinguni.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard kushawishi na kupongeza rasilimali zinzokusaidia na kuwasaidia wazazi wako na Ndugu zako zikichomwa na wahuni..! Eti kwakuwa humtaki kiongozi Fulani.

Hata hao wafadhili mnawaowatumikia wanawashangaa bila shaka. Wanajua Wana deal na mazuzu ya aina yake yasiyoona beyond their nose.
 
unakaa kwenye keyboard
EFF35D83-7126-49E3-8B25-E499A5256D80.jpeg
 
* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani na fulani kafa.! Halafu kesho yake wanonekana.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani anashikiliwa mpakani.! Halafu baadae anaibuka anakanusha.

* Mtu mzima tena hoehahe unakaa kwenye key board siku nzima kushangilia eti, nchi haipati msaada.! Utafikiri wewe unaishi Mbinguni.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard kushawishi na kupongeza rasilimali zinzokusaidia na kuwasaidia wazazi wako na Ndugu zako zikichomwa na wahuni..! Eti kwakuwa humtaki kiongozi Fulani.

Hata hao wafadhili mnawaowatumikia wanawashangaa bila shaka. Wanajua Wana deal na mazuzu ya aina yake yasiyoona beyond their nose.
Jitu Zima linafungwa mikocheni na Abdul kwa malipo ya elfu 7 kwa siku ni aibu.
 
* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani na fulani kafa.! Halafu kesho yake wanonekana.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard siku nzima kuandaa na kusambaza habari eti Fulani anashikiliwa mpakani.! Halafu baadae anaibuka anakanusha.

* Mtu mzima tena hoehahe unakaa kwenye key board siku nzima kushangilia eti, nchi haipati msaada.! Utafikiri wewe unaishi Mbinguni.

* Mtu mzima unakaa kwenye keyboard kushawishi na kupongeza rasilimali zinzokusaidia na kuwasaidia wazazi wako na Ndugu zako zikichomwa na wahuni..! Eti kwakuwa humtaki kiongozi Fulani.

Hata hao wafadhili mnawaowatumikia wanawashangaa bila shaka. Wanajua Wana deal na mazuzu ya aina yake yasiyoona beyond their nose.
Huu 👇👇uongo ndio kuthibitisha kuwa yu hai?

Do you think we Tanganyikans are stupid and ignorant like you Zanzibaris?

No way.......................!!

We're mentally active and perfect good enough to analyze every event whether is true or fake 🤥 🤥

Ngoja tuone kama mnaweza kukaa na maiti hata kwa mwezi tu bila kuwanukia

View: https://www.youtube.com/live/yJVDHbUrzlY?si=liN_dQ8YvkkKe6to
Nendeni mkadanganye wake na waume zenu shenzytype nyie 🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Back
Top Bottom