Hata Baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

Hata Baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

Habari zenu wanajanvi

Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?

Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

Star TV ndiyo SUPER BRAND ya kikwelikweli na wala sio WAJIPENDEKEZAJI WAKO!
 
Back
Top Bottom