Isalia
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,211
- 435
Ulikuwa hujui kuwa star TV ni ccm, TV yenye usawa katka habari ni ITV peke yke
Usawa upi mbona imekaa kichadema zaidi
Ulikuwa hujui kuwa star TV ni ccm, TV yenye usawa katka habari ni ITV peke yke
Habari zenu wanajanvi
Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.
Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?
Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV