Waandaji au promoter wa hassan Mwakinyo wanamdanganya kwa kupewa bondia Nyanya kama huyu Sergio
Hata wale mlioangalia pambano inaonyesha saana kuwa bondia Sergio ni bondia muuza vitumbua yaani hana ustar wa kuwa bondia
Record zinaonyesha tangia 2016 hajawai kushinda hata pambano moja
Hapa Hassan hustaili pongezi umefanya mazoezi na bondia wa mchangani