Pita kule X kwenye page ya Mange Kimambi kaelezewa vizuri na utaona mpaka Mawaziri walivyo kuwa wana pledge michango ya Harusi. Mtu anatoa 30M mchango wa HarusiNimeona picha zinatrend mtandaoni kwenye harusi yake watu maarufu wakiudhuria akiwemo mstaafu Kikwete, mawaziri, watu maarufu, wasanii n.k