Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Katibu Mkuu wa chama cha National League for Democracy (NLD), Hassan Doyo amechukua fomu ndani ya chama hicho kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania, huku akieleza sababu ya kutaka nafasi hiyo, akibainisha vipaumbele kumi.
Doyo amesema vipaumbele hivyo atavitumia iwapo chama hicho kitampitisha kuwania urais kuvinadi kwa wananchi ambao nao wakimpa ridhaa ya kuwaongoza atavitekeleza.
Katibu mkuu huyo anajitosa ndani ya chama hicho kuungana na vyama vingine vinne, ambavyo navyo harakati za kuwapata wagombea zinaendelea ili kwenda kuchuana Oktoba 2025 kwenye uchaguzi huo.
Mbali na Doyo, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu naye ameonesha nia ya kuwania urais, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ADC Bara, Innocent Siriwa naye ameonesha nia ndani ya chama chake.
Soma, Pia: Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Dorothy Semu atangaza nia ya kuwania Urais mwaka 2025
Wote hao Semu na Siriwa wamebainisha vipaumbele vyao na kusubiri michakato ya ndani ya vyama vyao kumpata mgombea mmoja.
Soma, Pia
Doyo amesema vipaumbele hivyo atavitumia iwapo chama hicho kitampitisha kuwania urais kuvinadi kwa wananchi ambao nao wakimpa ridhaa ya kuwaongoza atavitekeleza.
Mbali na Doyo, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu naye ameonesha nia ya kuwania urais, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ADC Bara, Innocent Siriwa naye ameonesha nia ndani ya chama chake.
Soma, Pia: Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Dorothy Semu atangaza nia ya kuwania Urais mwaka 2025
Wote hao Semu na Siriwa wamebainisha vipaumbele vyao na kusubiri michakato ya ndani ya vyama vyao kumpata mgombea mmoja.
Soma, Pia