Hashim Rungwe Spunda anastahili honorary doctorate!

Hashim Rungwe Spunda anastahili honorary doctorate!

MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.
UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina

MWALIMU JK NYERERE
 
Muslim University of Morogoro nchini kwa nini msimtunuku honorary doctorate Mheshimiwa Hashimu Rungwe Spunda kwa mageuzi ya Kisiasa nchini? Nini kinakwamisha?
Kwanini umekitaja MUM na si chuo kingine ?

Hivi MUM iliwahi kutunuku honorary kwa mtu yeyote kweli?
 
Back
Top Bottom