nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
kwa hiyo kila anayeikosoa serikali ni bavicha? huu ni mtazamo hasi saana.Bavicha mnahangaika sana masikini. Hata chizi akimkosoa rais mtakuja na thread kumuunga mkono kwasababu mnafanana tabia