Lakini nafikiri kocha wa Grizzlies naye alishindwa kumtumia Hasheem, haiwezekani timu kama Houston Rockets ambayo ina reputation kuubwa tu NBA wakubali kubadilishana kwa 'reject', nadhani kocha wa Houston ameona anaweza kumtumia vipi Hasheem...and we (Tanzanians) can only wish him luck, hoping that he will make us proud!