:frown:
Jamani kila mtu anajua kuwa jambo la kudai Katiba mpya lilikuwa na lipo katika mkakati wa CHADEMA tangu wakati wa kampeni za uchaguzi uliochakachuliwa kwa kishindo.
CUF (bara/dar) nao wakadandia hiyo agenda siku za mwisho mwisho wa hizo kampeni baada ya kuona ina mshiko.
Lakini sasa hiyo CUF Bara/ Dar inaonekana inataka kuwapiku CHADEMA kwa kuaandaa maandamano kwa harakaharaka.
Swali (kama kuna majibu):
CDM watuambie ya kwao yatayaanza nchi nzima na lini yatazinduliwa na wapi?
Bora kuyaanza nchi nzima kwa mara moja ili ku- spread the state apparatus thin and have a better impact. Hapo hata CNN, BBC and EURO News watayaonyesha live!
Wakubwa wakiona hayo katika news zao, utaona JK akiitwa Washington, London, Brussels, Copenhagen, Helsinki, Stockholm nk kujibu tuhuma na kunyimwa misaada ambayo wanayaponda kila siku.
Huenda baada ya hapo akanyimwa VISA ya kwenda huko na account zake za VISA, Master card etc zikaufngwa kama zilivyofungwa za Jualian Assange.
Natoa hoja!
Jamani kila mtu anajua kuwa jambo la kudai Katiba mpya lilikuwa na lipo katika mkakati wa CHADEMA tangu wakati wa kampeni za uchaguzi uliochakachuliwa kwa kishindo.
CUF (bara/dar) nao wakadandia hiyo agenda siku za mwisho mwisho wa hizo kampeni baada ya kuona ina mshiko.
Lakini sasa hiyo CUF Bara/ Dar inaonekana inataka kuwapiku CHADEMA kwa kuaandaa maandamano kwa harakaharaka.
Swali (kama kuna majibu):
CDM watuambie ya kwao yatayaanza nchi nzima na lini yatazinduliwa na wapi?
Bora kuyaanza nchi nzima kwa mara moja ili ku- spread the state apparatus thin and have a better impact. Hapo hata CNN, BBC and EURO News watayaonyesha live!
Wakubwa wakiona hayo katika news zao, utaona JK akiitwa Washington, London, Brussels, Copenhagen, Helsinki, Stockholm nk kujibu tuhuma na kunyimwa misaada ambayo wanayaponda kila siku.
Huenda baada ya hapo akanyimwa VISA ya kwenda huko na account zake za VISA, Master card etc zikaufngwa kama zilivyofungwa za Jualian Assange.
Natoa hoja!