Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Huu tuuite mwaka wa shetani kwa Simba ama tutumie lugha gani kuuelezea?
Team ya soka ya Simba leo imewasononesha tena mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha bao 3-1 kutoka kwa team ya Nairobi City Stars katika mchezo uliokuwa wa kukamilisha sherehe za Simba Day.
Simba ambayo ilianza kwa kuteremsha kikosi cha kwanza,wenyewe wanaita kikosi cha maangamizi (angalia list hapa chini) ilishuhudiwa ikipoteza dira kipindi cha 2 na kukubali kipigo hicho kilichotibua kabisa shamrashamra zao.
Kwa habari zaidi soma hapa BIN ZUBEIRY
Team ya soka ya Simba leo imewasononesha tena mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha bao 3-1 kutoka kwa team ya Nairobi City Stars katika mchezo uliokuwa wa kukamilisha sherehe za Simba Day.
Simba ambayo ilianza kwa kuteremsha kikosi cha kwanza,wenyewe wanaita kikosi cha maangamizi (angalia list hapa chini) ilishuhudiwa ikipoteza dira kipindi cha 2 na kukubali kipigo hicho kilichotibua kabisa shamrashamra zao.
Kwa habari zaidi soma hapa BIN ZUBEIRY