NYerere hamuwa best man Bali alikuwa "baba " es bibi harusi Flora. Harusi ilifungwa kwenye Kanksa moja London. Wakati huo Kambona alikuwa waziri es elimu. Alimpa Flora scholarship ili harusi ifanyike Ulaya, na Nyerere alisafiri kwenda huko kumwakisha baba mzazi wa Flora. Mdogo wake Flora tulikuwa naye shule ya bweni Waikato huo.
macinkus