Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wakuu natumaini kichwa cha habari hapo juu kinahusiana na watu wawili katika historia ya nchi hii ya Tanzania, nikiwa nimezaliwa baada ya uhuru wa nchi hii nilishapata story kua jamaa hawa wawili walikua pamoja katika kudai uhuru wa nchi hii na pia walikua marafiki sana hata kufikia hatua ndoa ya marehemu Oscar Kambona ndoa yake ilisimamiwa na marehemu Julius Nyerere lakini chakushangaza nikaambiwa kua marehemu hawa walikuja kutofautiana!
jamani je kuna mtu mwenye kumbukumbu ya picha ya harusi hii ya hawa mababa wa taifa hili na sisi tuweze kupata angalua tuweke kwenye kumbukumbu ya nchi hii?
Nawasilisha!
jamani je kuna mtu mwenye kumbukumbu ya picha ya harusi hii ya hawa mababa wa taifa hili na sisi tuweze kupata angalua tuweke kwenye kumbukumbu ya nchi hii?
Nawasilisha!