Harusi ya kifahari

Harusi ya kifahari

khaliciouz

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
579
Reaction score
212
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe
kionjo kidogo tu

GIRL: Enhee.
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi
zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako

GIRL: Ooh baby u care.
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range
Rover Sport na mama mkwe nitampa Range Rover
Evoque.

GIRL: Baby u are awesome.
BOY: Halafu mdogo wako wa kiume ntampa Prado
Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula.

GIRL: Enhee na sisi?
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila,
wiki tutaishi nyumba tofauti.
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba
makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi.
Maldives.

GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon.
Bahamas halafu tunaenda Taiwan shopping ya.
fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu.
tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani.

GIRL: Ooh my sweetheart halafu tukitoka huko?
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji.
nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako
imeishia hapo.
 
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe
kionjo kidogo tu

GIRL: Enhee.
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi
zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako

GIRL: Ooh baby u care.
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range
Rover Sport na mama mkwe nitampa Range Rover
Evoque.

GIRL: Baby u are awesome.
BOY: Halafu mdogo wako wa kiume ntampa Prado
Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula.

GIRL: Enhee na sisi?
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila,
wiki tutaishi nyumba tofauti.
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba
makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi.
Maldives.

GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon.
Bahamas halafu tunaenda Taiwan shopping ya.
fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu.
tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani.

GIRL: Ooh my sweetheart halafu tukitoka huko?
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji.
nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako
imeishia hapo.
Huyo mvulana ni mcheshi mzuri kwenye mahusiano ila msichana ni lizumbukuku, halitaweza kuishi na huyo kijana.Kijana alikuwa anampigia msichana stori za alinacha na lisichana linameza tu likidhani ni kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom