Harusi ndo harusi

Harusi ndo harusi

Ndio, aliyepanic ni mke, kisa mume anachat kwa ukaribu kuhusu kuonana na maid


Ndiyo maana Waislam harusi zetu tunatakiwa tuzifanye wanawake peke yao wanaume peke yao.

Mchanganyiko huleta mfadhaiko.

Asilalame ni kujitakia wenyewe.
 
"....Wengi wanaosimamia harusi pamoja ambao si mke na mume huishia kwenye mahusiano yasiyo rasmi...."
Mc Pilipili
Huwo ulimbukeni tu mimi nilisimamia harusi na mke wa mtu lkn hakuna lolote kati yetu
 
Na wew mleta mada inaonekana kilaza sasa hizi ndy habar za kuleta humu haaaa
 
Back
Top Bottom