Inavyoonyesha haina tatizo maana Mchungaji au Shehe analiona tumbo kubwa na bado anafungisha ndoa,inakubalika kwani nimewahi kuhudhuria harusi ya mfanyakazi mwenzangu mwanamke na mlokole akiwa mjamzito wa miezi kama 6 hivi.
kwanini mwizi akiwa anaiba kisha akatubu na akitaka kununua alichokua anaiba mwanzo hairuhusiwi? tena huyo MTU kafanya vizuri ili kosa lisiendelee kutendeka
1. Maandiko yanakataza. 2. Maoni yangu; mwenye kuoa mjamzito ni mwaminifu kwa mwenza wake na pia ana hakika ya kuoa binti asiye na tamaa vinginevyo angetumia kinga au kutoa mimba kama wafanyavyo wasichana wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.