MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,159
- 6,574
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya wanawake kuolewa na kufanya harusi wakiwa ni wajawazito.
Maoni yenu ni nini juu ya wanao oana wakati mwanamke akiwa mjamzito?
Je, maandiko ya Mungu yasemaje juu ya hili?
Watu wana-test zari mapema mkuu...
Hakuna anayetaka kuuziwa mbuzi kwenye gunia