The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Haruna Niyonzima amerejea rasmi Yanga SC akitokea AS Kigali ya nchini Kwao Rwanda, Haruna amecheza soka Tanzania kwa miaka nane mfululizo (2011-2019) na sasa anarejea tena rasmi.
.....................
Kwakweli Huyu jamaa soka la Tanzania limependa na yeye anapenda Tanzania. Duuh
.....................
Kwakweli Huyu jamaa soka la Tanzania limependa na yeye anapenda Tanzania. Duuh