Harufu ya kiume inanitia hamu

Jaman msaada ...nimezamisha kaz ya crdb hapa bugurun...pesa haikutoka ...sina hata mia mfukuna ndinga mafuta haina imezima relin....nifanyeje ...

Kazi= kadi?
Umezamisha ATM/ wapi?
Kama ATM card kesho asubuhi wahi uichukue....pole unaonakana umepanic sana
 
 
Ww nawe unayataka! Kwann ukumbatiane na mtu ambaye c mpenzi wako? Tibu hilo kwanza la kupenda kukumbatia watu
 

Mbona solution imeisema mwenyewe, yaani, epuka salamu ya kukumbatiana kwa kunyoosha mkono kwa mbali halafu mkishikana tu, unabaki straight. Pia vaa tauli muda wote. Pia pata dose mara kwa mara.
 
embu utest yangu kama na yenyewe itakuletea hilo tatizo.., then TUONE
 

itakuwa jini hilo...
 
Kama umeizamisha mtoni,uliza wenyeji wa hapo uelekeo wa maji na ukumbuke mwendokasi wa maji baada ya kuzamisha kadi kisha chukua boda boda ikuwahishe faster Jangwani pale ukaisubiri hapo na nyavu za uvuvi ili uivue!

Mkuu kad ya benk mkuu...sio kuzamisha kwenye maj..
 
Asanteni wote mloonesha moyo wa kunisaidia kimawazo na kwa pm.
Nitafanya kama mlivyonishauri.
Asanteeni, nawatakieni mchana mwema.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…