Yale yale wa mwanaume yuko nje analima mkewe yuko ndani anapika mara mlio wa risasi unasikika kwa nje then mwanaume anakimbia ndani na anafunga mlango halafu anamuuliza mkwewe
"Nani kafyatua Risasi?"
Habari za asubuhi wadau
nipo singida nimepanda najmunisa naelekea dar..
Kwenye hili basi nimekutana na harufu ya ajabu haieleweki.
Mwenye kujua chanzo cha harufu ndani ya basi naomba anijuze.