Afadhali ungemchukua huyo mwenye kikwapa, ungemtafutia tiba mbadala, na ungekuwa na amani kwenye ndoa yako, kuliko anayenukia halafu huna amani ,matokeo yake, unalala kinondoni, moyo, akili na mapenzi yako kimara!! Lipi Jema hapo Wiyelele?
U supporse to pay me, because I make ure day!na nimekuongezea maisha.Hahahahahahah :becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:! We Lisa mbona umenivunja mbavu asubuhi hii. Tatizo langu mtu akiwa na harufu ya kikwapa, ambayo anaweza kuondokana nayo na hataki... Je atakuwa muelewa kwa mambo mengine? How soon could she cope up with my pace? Bora moyo ulale Kimara, na kiwili wili nikiwekeze huko Kindondoni.....
U supporse to pay me, because I make ure day!na nimekuongezea maisha.
Unajua wiyelele, mapenzi ni kitu cha ajabu sana, huyo anayenuka kikwapa ukimpenda utamuogesha na utahangaika hicho kikwapa kitaisha, hata kama ni mvivu utamnyoa wewe, na kumuogesha na kumtafutia manukato yote ili awe pale unapotaka wewe, na yeye ni mwanadamu akiona wewe unahangaika sana yeye ainuke na awe smart lazima na yeye atakuwa anajituma hatimaye ataweza kufanya unalotaka. Unajua katika maisha siku zote tunalearn from others, so anakuwa anajifunza taratibu mpk anaweza.
Wiyelele hapa huyo mke wa jamaa anaweza kuwa anahusika au hahusiki masikini ya mungu. Kuna wanaume wengine ni tabu tupu ... yani hawajipendi. Hapo unaweza kuta wife kaplay part yake lakini jamaa ndo hivooo... Shati kakupigia hapo 3 days, kwapa kafuga unyasi wa hatari, kuoga kwenyewe anaoga kama mtoto angrrrrrrrrrrrr...., huko down stairs ndo sipati picha.
I hate this. USAFI UNAANZA KWA MTU MWENYEWE kwakweli.
Unajua kuna vitu viwili watu hawaelewi, kuna kikwapa cha uchafu na cha asili.
Hawa wenye vikwapa vya asili ni balaa, anaweza kuoga asuhuni safi akaenda azini ile purushani ya daladala na kutembea kidogo tu, atatoa harufu kama kuna mzoga wa mbwa pembeni!!
Watu hawa huwa nawaonea huruma sana. Sasa sijui huyo mtu anaangukia group gani hapo?
sio kikwapa tu wengine wanaharufu ya uvundo yani akiinuka tu harufu...kinooma..daah nashukuru mpenz wangu mim hanuki..ingawa na mim spray ikiisha inakuaga blaah...Umewahi kukutana na mtu mwenye harufu mbaya ya kikwapa? Mwaka jana, nilikuwa ofsini nafanya kazi kama kawa mida ya ashubuhi. Pembeni kulikuwa na chai yangu. Aliingia dada mmoja hivi, du! Hata hamu ya kunywa chai iliishia hapo. Japo alihitaji ushauri wa kitalaam, nilimvumilia sana na nilipomalizana nae, ilinibidi nifungue madirisha yote ili harufu mbaya itoke. Alikuwa na harufu ya kikwapa ile mbaya, japo alivaa vizuri sana na ni mrembo.
Jana tu nilikuwa na mkutano kwenye ofisi moja kubwa. Jamaa niliekaa nae karibu balaa! Sijui aliweka mzoga wa panya kwenye kikwapa ata sielewi. Nilipomtazama vizuri, nikakuta ana pete ya ndoa! Nikajiuliza hivi mke wake hasikii harufu hiyo? Jamani, huenda huyu mtu anasoma JF hapa, hebu msaidie aondokane na harufu ya kikwapa. Mezani tuliwekewa juice ya azam na korosho wala sikugusa kitu, hata maji sikunywa kabisa.
Wewe mke wa huyu jamaa, huoni aibu? Au na wewe una tatizo la kikwapa? Watu wengine bwana...
Wiyelele hapa huyo mke wa jamaa anaweza kuwa anahusika au hahusiki masikini ya mungu. Kuna wanaume wengine ni tabu tupu ... yani hawajipendi. Hapo unaweza kuta wife kaplay part yake lakini jamaa ndo hivooo... Shati kakupigia hapo 3 days, kwapa kafuga unyasi wa hatari, kuoga kwenyewe anaoga kama mtoto angrrrrrrrrrrrr...., huko down stairs ndo sipati picha.
I hate this. USAFI UNAANZA KWA MTU MWENYEWE kwakweli.
Kongosho hii nimeipenda sanaaaaaaaa....
ila angalia akiamka asikudai nywele zake lol...
To be pricise kuna jamaa alitokaga kwenye heka heka akidai ngozi yake (g.vi) .. kisa wife alimbana hadi akakatwa, sasa wamekorofishana wanataka kuachana jamaa kagoma kamwambia paka unirudishie ngozi yangu coz kabila langu halifanyi hyo kitu lolz. Kesi ilifika hadi kwa Serekali za Mtaa.
Kongosho hii nimeipenda sanaaaaaaaa....
ila angalia akiamka asikudai nywele zake lol...
To be pricise kuna jamaa alitokaga kwenye heka heka akidai ngozi yake (g.vi) .. kisa wife alimbana hadi akakatwa, sasa wamekorofishana wanataka kuachana jamaa kagoma kamwambia paka unirudishie ngozi yangu coz kabila langu halifanyi hyo kitu lolz. Kesi ilifika hadi kwa Serekali za Mtaa.
HE he he, akidai nywele zake namshonea weaving
Atakuwa mwehu kweli kudai msitu wake wa pande! Mtu kanawili anataka arudi kuwa mchafu? Ukiwa na mke anaekujali hivyo lazima unshukuru Mungu. Wanaume wengine ndo hufanya kazi hiyo ya kupunguza msitu kwa wake zao! Jamani, mambo ya familia siri kichwani....
Umewahi kukutana na mtu mwenye harufu mbaya ya kikwapa? Mwaka jana, nilikuwa ofsini nafanya kazi kama kawa mida ya ashubuhi. Pembeni kulikuwa na chai yangu. Aliingia dada mmoja hivi, du! Hata hamu ya kunywa chai iliishia hapo. Japo alihitaji ushauri wa kitalaam, nilimvumilia sana na nilipomalizana nae, ilinibidi nifungue madirisha yote ili harufu mbaya itoke. Alikuwa na harufu ya kikwapa ile mbaya, japo alivaa vizuri sana na ni mrembo.
Jana tu nilikuwa na mkutano kwenye ofisi moja kubwa. Jamaa niliekaa nae karibu balaa! Sijui aliweka mzoga wa panya kwenye kikwapa ata sielewi. Nilipomtazama vizuri, nikakuta ana pete ya ndoa! Nikajiuliza hivi mke wake hasikii harufu hiyo? Jamani, huenda huyu mtu anasoma JF hapa, hebu msaidie aondokane na harufu ya kikwapa. Mezani tuliwekewa juice ya azam na korosho wala sikugusa kitu, hata maji sikunywa kabisa.
Wewe mke wa huyu jamaa, huoni aibu? Au na wewe una tatizo la kikwapa? Watu wengine bwana...
Umewahi kukutana na mtu mwenye harufu mbaya ya kikwapa? Mwaka jana, nilikuwa ofsini nafanya kazi kama kawa mida ya ashubuhi. Pembeni kulikuwa na chai yangu. Aliingia dada mmoja hivi, du! Hata hamu ya kunywa chai iliishia hapo. Japo alihitaji ushauri wa kitalaam, nilimvumilia sana na nilipomalizana nae, ilinibidi nifungue madirisha yote ili harufu mbaya itoke. Alikuwa na harufu ya kikwapa ile mbaya, japo alivaa vizuri sana na ni mrembo.
Jana tu nilikuwa na mkutano kwenye ofisi moja kubwa. Jamaa niliekaa nae karibu balaa! Sijui aliweka mzoga wa panya kwenye kikwapa ata sielewi. Nilipomtazama vizuri, nikakuta ana pete ya ndoa! Nikajiuliza hivi mke wake hasikii harufu hiyo? Jamani, huenda huyu mtu anasoma JF hapa, hebu msaidie aondokane na harufu ya kikwapa. Mezani tuliwekewa juice ya azam na korosho wala sikugusa kitu, hata maji sikunywa kabisa.
Wewe mke wa huyu jamaa, huoni aibu? Au na wewe una tatizo la kikwapa? Watu wengine bwana...
kwa mtu yeyote mwenye kikwapa anitafute binafsi nitampa tips za kuondoa hilo tatizo
mi namshukuru Mungu hayo masmeli hayapo kwangu kabisa ,mi naachiaga msitu kwa sana kitu laini cha kishombe shombe ila ningekuwa na kipilipili subutu ningekuwa nakifyeka daily.mimi shori akiwa na kiforest lain uwa kinanipa mzuka sana. Wewe kama unakipilipil imekula kwakomashamba ya katani, bila uangalizi wowote
Anamwacha tu msitu wa kongo unamea kama amazon foresti, kweli?? Afu unalalaje naye?
Binadamu hata kama una kwapa la asili, kuna jinsi ya kulipunguza
Kwanza hakikisha misitu yote imefyekwa kabisa
mi namshukuru Mungu hayo masmeli hayapo kwangu kabisa ,mi naachiaga msitu kwa sana kitu laini cha kishombe shombe ila ningekuwa na kipilipili subutu ningekuwa nakifyeka daily.mimi shori akiwa na kiforest lain uwa kinanipa mzuka sana. Wewe kama unakipilipil imekula kwako