julius milla
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 633
- 329
System ya brake ni failure.ndio maana zina ajali sana.Subaru ni fake.ndio maana hata kwenye WRC world rally championship wameanza kiziondoa.mbadala wake ameingia Ford focus.Acheni kulinganisha Subaru na vitu visivyoweza kushindana nayo, Subaru ni Symmetrical All Wheel Drive(AWD) inayotoa power independent kwa matairi itategemea lipi linahitaji nguvu ndo linapewa, ukiwa rough road ndo utapenda zaidi maana Forester imekua designed for rough road zaidi na kadri inavyozidi kukimbia inakua more stable inatitia flani hivi, ukitaka flexibility na comfortability barabarani basi Subaru ndo nyumbani, hizi gari ni za miendo huwezi linganisha na gari za starehe na advantage ua Subaru ni kua hakuna vifaa fake km gari nyingi za Toyota maana zinaingilia sana
[emoji102] [emoji102] [emoji102]System ya brake ni failure.ndio maana zina ajali sana.Subaru ni fake.ndio maana hata kwenye WRC world rally championship wameanza kiziondoa.mbadala wake ameingia Ford focus.
===
Zinatofautiana uwezo pia. Mwambie ajaribu 3000cc, 4WD hatajiangusha
====Sitamshauri kwa sababu ya fuel consumption unless awe anataka power tu
Subari ipi ambayo ni sedanMhhh sijui sn magari bt Harrier is on a whole new level, level zake ni SUV, Subaru naona ni sedan, enewei mtu km mie mwonekano wa gari matters the most performance mara sijui spidi vya kazi gani Dar kwnyw foleni kila mahali
====
comeon, mkuu napenda kukuambia kwamba natumia hiyo gari wala haitumii mafuta mengi. 11km/L ni kweli. wala usihofu kama unataka makubwa lazima uwe mkubwa. Sasa unataka anunue IST kwani ni demu?
Mkuu Sti ina shida gani?Hapo kama bado unapenda ujana na unataka gari la kudumu na la familia pia basi nakushauri chukua Subaru Forester XTi(sio STi) hii ni full SUV na ina size kubwa mfano wa Rav4 hivi, hizi gari zinaaminika zaidi kwa performance, usalama kwenye ajali, size kubwa na pia utulivu barabarani.....pia zina ulaji wa kawaida wa mafuta hasa hasa 2.0 petrol na pia haziharibiki kirahisi....asikudanganye mtu kuwa Subaru zinakula sana mafuta ni wewe tu na utayochukua kama 2.0 au 2.5...mm nna subaru Forester sti mwaka wa 5 huu na nimebadilisha taa na matairi tu tena kwa kuigonga vingine vyote viko sawa
Ni kweli. Nina subaru toka mwaka 2010, watu wanashangaa bado iko bomba. Imepiga route ndefu mara kibao Tabora Tunduma. Mafuta na spare ndio bei juu. Hata hivyo, ukiweka spare , ndio utasahau kuharibika. Iimetulia barabarani iko stable sana na kukimbia ingawa wengi wanaangalia sura kuwa haivutii sana. Nyuma ( boot) pia ina nafasi kubwa kwa mizigo ya familia.Nina miliki Subaru Forester manual transmission tangu mwaka 2010 hadi sasa.Hizi gari ni imara sana haziharibiki hovyo hovyo ila ikiharibika jiandae spear zake ziko juu sana mfano shock up yake moja ni Tsh.250,000.Na kwa sababu ni AWD mafuta inakula zaidi ya non AWD.Hazikwami kwenye michanga,tope nk.Zinakimbia sana pia.Harrier sijawahi kuitumia.Spare za Subaru haziingiliani na Toyota!Hata Rim lazima utafute ya Subaru!
Sti hazina shida yoyote ila kibongo bongo itakuwa na shida ya fuel consumptionMkuu Sti ina shida gani?
XTi inavutia mkuuNi kweli. Nina subaru toka mwaka 2010, watu wanashangaa bado iko bomba. Imepiga route ndefu mara kibao Tabora Tunduma. Mafuta na spare ndio bei juu. Hata hivyo, ukiweka spare , ndio utasahau kuharibika. Iimetulia barabarani iko stable sana na kukimbia ingawa wengi wanaangalia sura kuwa haivutii sana. Nyuma ( boot) pia ina nafasi kubwa kwa mizigo ya familia.
STi iko chini pia...ila inavumilia kila kitu, unaweza fukia shimo na bado ukawa salama na sample yako na vitu vingine kama shock ups e.t.c ila utaacha bumperMkuu Sti ina shida gani?
Hivi subaru zote hua zina sauti ya Simba ? Namaanisha masuala mazima ya zile sounds nzito za kuvutia panapo exhaust pipe?STi iko chini pia...ila inavumilia kila kitu, unaweza fukia shimo na bado ukawa salama na sample yako na vitu vingine kama shock ups e.t.c ila utaacha bumper
Ni SUV zile au aina gani...Subari ipi ambayo ni sedan
Hapana mkuu, ile loudspeaker unafunga mwenyewe, inaitwa muffler kwa lugha nyepesi..... Subaru huwa hazina sauti kabisa, na inaweza washwa mbele yako hata usisikie kama imewashwa.....ndo maana nazipenda sana hizi gari maana zinakubali hali yoyote uliyonayo, kama unapenda ile sauti unafunga na inaitika kama hupendi unatoa na inakuwa silent balaa mno labda pale inapowasha radiator fan kupooza engine ndo utasikia inatoa sauti.....Hivi subaru zote hua zina sauti ya Simba ? Namaanisha masuala mazima ya zile sounds nzito za kuvutia panapo exhaust pipe?