Kwa nini?hahahaaaa nilikua sitaki kucheka ila nimejikuta tu cheko limetoka
Huyu nimemchoka, anatujazia server tu na habari zake za kipumbavu, kanapenda kiki kazi zenyewe hatuzioni, ww mazoezi gani unafanya huku umevaa jeans na mlegezo upuuzi mtupu.
uthigawe pathiHata kuimba hajui kabixa
Anakwambia yeye ni supa staa kwa sasaKwa vicheko hivi ndio kajamaa kanajipenyeza kiumaarufu
Hapana ,harmorapa anachukiwa na wanaume hasa mimi ni miongoni mwa watu tusiompenda harmorapa kwa sababu ya kupenda kiki za kijingaNilichokigundua humu Jf huyu dogo harmorapa anachukiwa sana hasa na wanawake Na wa wanaume wachache wenye tabia za kike like!!
BET umeenda mbali ,Tuzo za kili tu hachukuiHuyu dogo kwa style hii ya kurap namtabilia kuwa mTZ wa kwanza kubeba BET..........maana uwezo wake si wa nchii hii
Uchawi wa Asubuhi asubuhidaah.. kiki nyingine banaa tabu tupuu
Eti harmonize hajui kuimba si uchawi uoooo
harmorapa kajipange banaa
BET umeenda mbali ,Tuzo za kili tu hachukui
Mm binafsi ni mmoja wa watu wasopenda kuskia upuuzi wa harmorapa ila alichoongea ni kweli harmonize hajui kuimba
Watu weng hamumpend harmonize nahisi kutokana na muonekano wake but sikiliza kwa makini nyimbo zakeKwa WCB harmonize ni wa mwisho kwenye kuimba..... hahahaha naona wamakonde wanabanana hawapeani pathi