Mwacheni dogo atusue, nakumbuka kuna Mzungu aliingia bongo na kuibiwa kila kitu hadi passport Ila siku anaondoka aliondoka na Acc. Yake Ina bi 3. bongo shamba la bibi.
Hamorapa naye ni MASON nini? Maana huu umaarufu unamfuata bila sababu binafsi simpendi but najikuta nakuwa shabiki wake kuna kitu anavutia watu huyu si bure..!
Hamorapa naye ni MASON nini? Maana huu umaarufu unamfuata bila sababu binafsi simpendi but najikuta nakuwa shabiki wake kuna kitu anavutia watu huyu si bure..!