Leo nimepata nimekuta nyimbo mpya ya Harmonize inaitwa CCM nimeisikiliza nimegundua amekuwa mpuuzi japokuwa anapata pesa Ila nimemtoa maana kwakuwa anatugawa Sasa mashabiki
Leo nimepata nimekuta nyimbo mpya ya Harmonize inaitwa CCM nimeisikiliza nimegundua amekuwa mpuuzi japokuwa anapata pesa Ila nimemtoa maana kwakuwa anatugawa Sasa mashabiki
Huwa wanapiga wengi ndio, lakini huyu dogo hajafikia level za kuanza kugawa mashabiki kisa politics sor far bado hakijachanganya sana huko politics saiz anaweza toa nyimbo na jamaa wakamsahau vilevile kwenye ufalme wao.