Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Harmonize kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.
Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.
Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki
Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.
Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.
Harmo kwasasa Nyota nzuriii.
Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.
Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki
Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.
Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.
Harmo kwasasa Nyota nzuriii.