anthony_art
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 992
- 362
Habari wananzengo ,
Nimeona post ya Harmonize kuhusu kuwatambulisha wasanii WATATU (3) mwezi ujao (August) na kwa alivyoonyesha wawili (2) watakuwa watanzania ambapo mmoja Ni wa kiume na mwingine Ni wa kike lakini Kuna pia Kuna m_Nigeria ambaye Ni wa kiume.
Kama atafanikiwa kuwasaini wasanii hao label yake ya Kondegang(KMW) itakuwa na jumla ya wasanii watano, ambapo kwa sasaiv Ina wasanii wawili ambao Ni yeye mwenyewe harmonize na msanii wake Ibrah.
MTAZAMO WANGU:
Sijajua kwanini harmonize tangu atoke WCB na kuanzisha label yake ya Kondegang amekuwa na papara au haraka kiasi hicho, yaani anafanya Mambo mengi kwa muda mdogo.Akianzisha hiki kabla hakijafika mahali kinapotakiwa anaanzisha kingine.
Alipomsaini Ibrah niliona Ni mapema Sanaa Ila nikasema poa acha kijana ainue na wengine, lakini nikaona Tena anachanganya Mambo kwenye kumpromote kijana wake na Bado akaachia album na kijana wake akaachia Extended Playlist(EP).
Sasaivi Tena analeta wasanii WATATU je, ataweza kuwamaintain wasanii wote wakati nayeye Bado anhitaji kujitanua? Japokuwa si vibaya kuwainua wengine lakini Ni jambo linalohitaji techniques and tacts ili kuweza kumudu kuendesha label.
Ok, all in all naimani atakuwa amejipanga vilivyo kuweza kukabiliana na Hilo jambo na namuombea kwa M/Mungu.
MAONI YENU WANANZENGO.
#Kijana_Mpenda_burudani.
Nimeona post ya Harmonize kuhusu kuwatambulisha wasanii WATATU (3) mwezi ujao (August) na kwa alivyoonyesha wawili (2) watakuwa watanzania ambapo mmoja Ni wa kiume na mwingine Ni wa kike lakini Kuna pia Kuna m_Nigeria ambaye Ni wa kiume.
Kama atafanikiwa kuwasaini wasanii hao label yake ya Kondegang(KMW) itakuwa na jumla ya wasanii watano, ambapo kwa sasaiv Ina wasanii wawili ambao Ni yeye mwenyewe harmonize na msanii wake Ibrah.
MTAZAMO WANGU:
Sijajua kwanini harmonize tangu atoke WCB na kuanzisha label yake ya Kondegang amekuwa na papara au haraka kiasi hicho, yaani anafanya Mambo mengi kwa muda mdogo.Akianzisha hiki kabla hakijafika mahali kinapotakiwa anaanzisha kingine.
Alipomsaini Ibrah niliona Ni mapema Sanaa Ila nikasema poa acha kijana ainue na wengine, lakini nikaona Tena anachanganya Mambo kwenye kumpromote kijana wake na Bado akaachia album na kijana wake akaachia Extended Playlist(EP).
Sasaivi Tena analeta wasanii WATATU je, ataweza kuwamaintain wasanii wote wakati nayeye Bado anhitaji kujitanua? Japokuwa si vibaya kuwainua wengine lakini Ni jambo linalohitaji techniques and tacts ili kuweza kumudu kuendesha label.
Ok, all in all naimani atakuwa amejipanga vilivyo kuweza kukabiliana na Hilo jambo na namuombea kwa M/Mungu.
MAONI YENU WANANZENGO.
#Kijana_Mpenda_burudani.