Harmonize kaongea ukweli mchungu Sana, Kwa haraka haraka huwez kumwelewa duniani ukishaanza kuwa maarufu Tu, wazee wa kazi wanakufata, ukitaka kumantain status inabd ukubaliane nao.
Jamaa anauliza why kama Mungu yupo na anaruhusu hawa jamaa kuwa na nguvu Kiasi hicho, ni kilio kikubwa Bahati mbaya ukiingia sio rahisi kuchomoka ....!!! Kondeboy mtu mbadi yupo under hot supu.