Acha uboya wew kuna vitu harmonize anafanya ata boss wake hajawahi fanya sasa dogo kawa mkubwa and Kate dharau za Yule senge sallam sasa hivi Harmonize namheshimu diamond tu na iko iko kivyake tu sasa haambiw cha kufanya wala hapangiwe wala kushindikizwa kama rayvan na wengine harmonize sasa kakuwa hataki kuburuzwa kisengesengePale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.
Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.
Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
HAKYA MUNGU HARMONIZE AKICHOMOKA WCB NAMPA MIEZI SITA HATA UKUMBI WA BAR HAWEZ KUFURIKISHA BELIEVE ME DOGO ANAMHESHIMU SANA DIAMOND...An empty big water Mellon headed ..
Hiyo WCB naijua kisebureni mpuuzi wewe.. Wewe kama unawaona WCB kwenye Insta sisi tunawaona kiofisi ..
Kweli harmonize anakopy kila kitu kwa diamond ndo anachoweza kingineAcha uboya wew kuna vitu harmonize anafanya ata boss wake hajawahi fanya sasa dogo kawa mkubwa and Kate dharau za Yule senge sallam sasa hivi Harmonize namheshimu diamond tu na iko iko kivyake tu sasa haambiw cha kufanya wala hapangiwe wala kushindikizwa kama rayvan na wengine harmonize sasa kakuwa hataki kuburuzwa kisengesenge
Mkuu umezinunua wapi?Mimi natumia earphones ya sony inaitwa MDR-E808, ya meizu haina hata jina hapa sasa hivi ipo mbali earphone za kudidimia ni zile ziazozama ndani ya masikio picha yake kama hii nilioattach..headphones daah hizo sizipendagi kabisa maana sipendani kua na mispika mikubwa...hizo sony nimetumia miaka nenda miaka rudi hazichuji
Sony MDR kariakoo ni 5,000, ila hazina micMkuu umezinunua wapi?
Achana na huyo chizi .. Tunaojua yanayoendelea wcb tunashangaa wanao mu- underrate harmonize...Acha uboya wew kuna vitu harmonize anafanya ata boss wake hajawahi fanya sasa dogo kawa mkubwa and Kate dharau za Yule senge sallam sasa hivi Harmonize namheshimu diamond tu na iko iko kivyake tu sasa haambiw cha kufanya wala hapangiwe wala kushindikizwa kama rayvan na wengine harmonize sasa kakuwa hataki kuburuzwa kisengesenge
Kama kucopy ni simple copy na wewe ufikie level za harmonize .Kweli harmonize anakopy kila kitu kwa diamond ndo anachoweza kingine
Rayvanny nyimbo zake zina mistral ya kitoto sana ndo maana havumi.Hata mm Niko na mtazamo Kama wako aisee.
Rayvanny ndio ana staili ya kipekee hata maudhui yake huwa ni ya kipekee.
Ila sijui kwa nini jamaa havumi Kama harmonize.
Team work... Hata vidole havifanani lakini kila kimoja kina kazi yakeHabari za mda huu wakuu
Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
Mbona Rayvan ndio anaimba mistar ya kiutuuzima kuliko hao akina harmonize na domo nyimbo nzima utasikia kanyaga kanyaga,inama inama,tetema tetema,kiukwel hata sioni kinachoimbwa Mimi mwenzenu.Rayvanny nyimbo zake zina mistral ya kitoto sana ndo maana havumi.
Kwa baba hatuondoki kwa ugomvi bali kwa heri na busara huku tukichota baraka zote kutoka kwake.swali utakaa kwa baba milele?
Sina talent ya kuimba..harmoniz na diamond wote wametoka ufukaran wanjua ubaya wa umaskini hawatakuja kuzinguana hata mara moja wanasaka dolaleeee sikiliza video hiiiKama kucopy ni simple copy na wewe ufikie level za harmonize .
nakataahapo umesema mkuu mavoko toka aondoke WCB hana trending nzuri kwenye mziki mashabik wamekuwa wakiwashindanisha harmonize na diamond licha ya harmonize kukataa halaf harmonize hajamshinda bado mondi ukianzia kwenye record tuzo nk.istoshe style ya mziki anayofanya harmonize ni ya mondi (ameiga)
ukweli mchungu rayvan hawezi kutoa hitsong bila kushirikiana na diamond akitia ni uchafu kama ile ya duka la vipodoziMan unaelekea hutaki kukoselewa manake kila aliyekukosoa, mara umuite Bi Sandra, mara umuite Tanasha!!!
Kuna mtu kakwambia hizo habari za Diamond siku zake zimeisha, na mwenyewe umemuita majina ya kuchukiza! Man, penye kukosolewa kubali kukoselewa! Hebu soma hii habari: Hiyo ni habari ya mwaka 2013, nami kamkumbuka huyo Yahya alisema hayo wakati akihojiwa na EATV. Miaka 6 imepita lakini Diamond aliyesema alikuwa hapewi hata shows za 7 Million, leo hii hata kwa 20 million hapigi show! Na threads za kutabiri kuanguka kwa Diamond zipo hapa JF kwa miaka kadhaa sasa, lakini jamaa yupo pale pale!!!
Hata hivyo, nakubaliana na wewe kwamba Harmonize bila WCB sio Harmonize! Na akitaka asahaulike ndani ya mwaka 1, atoke WCB!
Binafsi, simkubali kabisa Harmonize! Namwelewa zaidi Rayvann ambae yupo unique kuliko Harmonize ambae ni clone ya Diamond! Almost anaiga kila kitu kutoka kwa Diamond!
kiuandishi harmonize is much better than rayvanParagraph ya mwisho analysis yako naipa 100%, that Vannyboy is so creative, unique and talented.
Harmonise ni Diamond clone, copy and paste kwenye kila kitu.
rayvan anabebwa na Diamond tuHarmonize anaachia content nyingi sana kwa wakati mmoja tofauti na Rayvanny.
Huu mwezi peke yake Harmonize ameonekana kwenye ngoma 5 , ngoma 3 na Q chief, moja na lava lava na nyingine nimeisahau.
Tofauti na Rayvanny ambaye tangia Tetema kazi zake mpya ni 2 tuu, Vumbi Na Girlfriend ambazo zote hazina hata video.
Siku Rayvanny akiamua aachie mawe back to back na yeye ataitawala Youtube (Tz) Labda tuu aachie ngoma pamoja na Platnumz Hapo ndio lazima ujichanganye maana lazima ya Diamond itatrend no 1
sijui unapiga bangi ya wapi?Usimponze! Harmonize ni average musician ambae kuna artists kibao nje ya WCB ambao hawafikii hata kwa nusu! Harmonize hana ubavu wa kusimama hata na madogo kama Mario let alone watu kama akina Aslay! Ukiona pamoja na yote hayo lakini bado yeye ndo ana-shine kuliko hao madogo basi ufahamu ni kwa ajili ya WCB!
uzamani umekujaa tunaongelea harmonize unaongelea uchafu juma nature.?Huijui music industry ya Tanzania wewe, kwahiyo kaa kimya! Na hapa hatuzungumzii nani anaingiza pesa na nani haingizi pesa! Narudia, huijui music industry ya Tanzania!!!
Eti kufeli kwa Mavoko! Huyo Harmonize amefikia level gani kulinganisha na level ambayo alifikia Juma Nature?! Je, baada ya Nature kutoka kwenye mikono ya wanaojua fitina za muziki wa Tanzania alifanya nini baadae?!
Huyo Harmonize amefikia level gani ukimlinganisha na Jide?! Je, unaweza kumlinganisha Jide aliyekuwa kwenye mikono ya wanaojua fitina za muziki wa Tanzana na Jide mwenyewe?!
Hivi kwa kipaji Harmonize unaweza kumlinganisha na Ruby?! Baada ya Ruby kutoka kwenye mikono inayojua fitina za music industry ya Tanzania alifanya nini?!
Hivi kama kweli unaujua muziki unaweza kumweka kapu moja na Aslay au Beka Flovor?! Nani kati yao ana-shine?!
Narudia, huijui tasnia ya muziki! Kwamba eti unaifahamu WBC in and out mimi hainihusu! Hata Asma Khan na mwenyewe anaijua WCB in and out! Sasa endeleeni kumjaza kama hajarudi kulima kulima ufuta Mtwara! JF hii hii naikumbuka ilivyokuwa inamjaza Ruby lakini kama kawaida, watu tukasema hapa acheni kumjaza Ruby! Kila mmoja sasa, pamoja na watu aina yako wanafahamu Ruby aliishia wapi!!!
Anavuta bangi huyosijui unapiga bangi ya wapi?
wewe kasikilize ile nyimbo anayoimba usenge niwe duka la vipodozi sjui toka hapa nikaona rayvan Hana tofauti na rafiki yake dudu bayaMbona Rayvan ndio anaimba mistar ya kiutuuzima kuliko hao akina harmonize na domo nyimbo nzima utasikia kanyaga kanyaga,inama inama,tetema tetema,kiukwel hata sioni kinachoimbwa Mimi mwenzenu.