GITU
Member
- Oct 2, 2010
- 16
- 1
SHERIA ZAWEKWA KARI,
WATU WANAPIGWA MPAKA KUWA VIREMA HATIMAYE KUPOTEZA UHAI.
Ndugu zangu wanajamiiforum hari bado ni tete huku machimboni,Nyaruyeye ni miongoni mwa kijiji kinachojipatia umaarufu kwa upatikanaji wa Madini ya dhahabu kwa hari ya juu.Kijiji hiki kinapatikana Mkoa mpya wa Geita(hapo awali ilijulikana kama Wilaya ya geita) jimbo la Busanda kata ya Nyarugusu,
mnamo mwaka jana mwezi wa tisa wazee watatu wakazi Wa nyarugusu katika shughuli zao za Uchimbaji waligundua uwepo wa dhahabu katika kijiji cha nyaruyeye umbali ni kama Kilomita 3 kutoka kijiji Cha nyarugusu ndipo taarifa zikaenea kila sehemu wachimbaji kutoka sehemu mbalimbali walifika sehemu ile na hatimaye kupata Matunda waliokuwa wakitafuta,kutokana na eneo hilo kati ya wazee wale watatu walio gundua miongoni mwao alikuwamo mwenyekiti wa Kijiji,kutokana kuwa sehemu hiyo ilikuwa inautata yaani maliasili waliamua kumtafuta mtu mmoja kwa jina Akifahamika kama Baraka yaani afanye mpango Ikibidi apate kibari kitakachowawezesha kuwa na ruhusa ya kuchimba Bira Buguza.Ndipo mashariti Magumu yalipoanza kuwawia wachimbaji hao ikabidi sehemu hiyo iendeshwe kwa taratibu sio kuchimba kwa mtu tu akijisikia,swala hilo halikuwafurahisha wachimbaji na hatimaye wakaamua kuandamana kwa sababu ya yule bwana kwani waliona anataka kuwanyanyasa,Ndipo ikabidi wakaishambulie nyumba yake kwa kuichoma moto,kwa kweli Mapolisi walijitahidi lakini hawakuweza kutuliza ghasia,ndipo walipoomba msaada wa asikari kutoka wilayani hawa wasiokuwa na huruma walianza kuwatupia mabomu ya machozi,watu hawa hawakusikia waliendelea kuwalushia mawe hali wakitaka kuwepo na hari ya uurudishwaji wa eneo hilo baada ya kutiwa mkazo, Askari hawa Wakiwa wamekodiwa kutoka Mkoani mwanza kwa gharama ya huyo bwana,
walianza kuwapiga risasi watu wasiokuwa na hatia, Kijana mmoja akiwa katika harakati ya kukimbia alipigwa risasi ya kichwa hapohapo na kupoteza maisha karibia na Eneo la shule ya msingi nyarugusu,kijana watu wengine walipigwa rasasi za miguu na kijana mmoja alilushiwa bomu likaharibu sehemu zake za makario yaani **** lote la kushoto likamwagika.Kutokana na gasia hizo mgodi huo ukafungwa,ndipo kukawapo na mzozo kati ya eneo hilo na maliasili wao wakadai sehemu hiyo ni game sasa hairuhusiwi,ndipo wakaibuka matajiri wengine wakadai hilo ndio eneo lao kwani limevamiwa,bwana yule alieyesabisha migogoro yeye hakuwa na elimu yoyote isipokuwa Pesa tu.
Sasa Mgodi ukafungwa kabisa, ndipo baadae mwaka huu mgodi ukafunguliwa mwezi wa nne baada ya wao kumaliza migogoro yao,
SHIDA IKAANZA KWA WATANZANIA WASIO KUWA NA HAKI RASILIMALI ZAO.
Kwa kweli inasikitisha ndugu zangu unaweza kutamani Mwisho wa Dunia kama Upo Basi uje Mapema Uwapumzishe watu kutoka sehemu mbalimbali nimeshudia watu wakimiminika kutoka sehemu mbalimbali wakija kutafuta madini ya dhahabu,na sheria ndio imekwisha kuwa ngumu bila kitambulisho haurusiwi kuingia Mgodini humo,kwani baada ya mgogoro kwisha walizungushia senyenge, Ndugu zangu kwa kweli sehemu hiyo kuna dhahabu lakini zinagharimu maisha ya watanzania,
Mtu huyo amekodi askari anaowalipa, Askari hawo wamekuwa kama makaburu wanapiga watu mpaka kuwa vilema, na hata kupoteza Uhai ikitokea umepita na matope kwenye nguo utapigwa kama umbwa, kwani ukibahatika kuosha yale utapata dhahabu,
Mgodi huu unaenda kinyume na haki za binadamu,pia nilishudia mwanafunzi mwenzangu alikwenda mgoni huko,alikosea mashariti kupita sehemu ilioandikwa kwa njia hii kwa ajili ya magari,
kwa kweli ukiwa huku inasikitisha sana Kwa hiyo Viongozi wajaribu kuangalia watu hawa wanaopigwa mpaka kuwa vilema hatimaye kupoteza maisha yao,(gitumabula@gmail.com)
WATU WANAPIGWA MPAKA KUWA VIREMA HATIMAYE KUPOTEZA UHAI.
Ndugu zangu wanajamiiforum hari bado ni tete huku machimboni,Nyaruyeye ni miongoni mwa kijiji kinachojipatia umaarufu kwa upatikanaji wa Madini ya dhahabu kwa hari ya juu.Kijiji hiki kinapatikana Mkoa mpya wa Geita(hapo awali ilijulikana kama Wilaya ya geita) jimbo la Busanda kata ya Nyarugusu,
mnamo mwaka jana mwezi wa tisa wazee watatu wakazi Wa nyarugusu katika shughuli zao za Uchimbaji waligundua uwepo wa dhahabu katika kijiji cha nyaruyeye umbali ni kama Kilomita 3 kutoka kijiji Cha nyarugusu ndipo taarifa zikaenea kila sehemu wachimbaji kutoka sehemu mbalimbali walifika sehemu ile na hatimaye kupata Matunda waliokuwa wakitafuta,kutokana na eneo hilo kati ya wazee wale watatu walio gundua miongoni mwao alikuwamo mwenyekiti wa Kijiji,kutokana kuwa sehemu hiyo ilikuwa inautata yaani maliasili waliamua kumtafuta mtu mmoja kwa jina Akifahamika kama Baraka yaani afanye mpango Ikibidi apate kibari kitakachowawezesha kuwa na ruhusa ya kuchimba Bira Buguza.Ndipo mashariti Magumu yalipoanza kuwawia wachimbaji hao ikabidi sehemu hiyo iendeshwe kwa taratibu sio kuchimba kwa mtu tu akijisikia,swala hilo halikuwafurahisha wachimbaji na hatimaye wakaamua kuandamana kwa sababu ya yule bwana kwani waliona anataka kuwanyanyasa,Ndipo ikabidi wakaishambulie nyumba yake kwa kuichoma moto,kwa kweli Mapolisi walijitahidi lakini hawakuweza kutuliza ghasia,ndipo walipoomba msaada wa asikari kutoka wilayani hawa wasiokuwa na huruma walianza kuwatupia mabomu ya machozi,watu hawa hawakusikia waliendelea kuwalushia mawe hali wakitaka kuwepo na hari ya uurudishwaji wa eneo hilo baada ya kutiwa mkazo, Askari hawa Wakiwa wamekodiwa kutoka Mkoani mwanza kwa gharama ya huyo bwana,
walianza kuwapiga risasi watu wasiokuwa na hatia, Kijana mmoja akiwa katika harakati ya kukimbia alipigwa risasi ya kichwa hapohapo na kupoteza maisha karibia na Eneo la shule ya msingi nyarugusu,kijana watu wengine walipigwa rasasi za miguu na kijana mmoja alilushiwa bomu likaharibu sehemu zake za makario yaani **** lote la kushoto likamwagika.Kutokana na gasia hizo mgodi huo ukafungwa,ndipo kukawapo na mzozo kati ya eneo hilo na maliasili wao wakadai sehemu hiyo ni game sasa hairuhusiwi,ndipo wakaibuka matajiri wengine wakadai hilo ndio eneo lao kwani limevamiwa,bwana yule alieyesabisha migogoro yeye hakuwa na elimu yoyote isipokuwa Pesa tu.
Sasa Mgodi ukafungwa kabisa, ndipo baadae mwaka huu mgodi ukafunguliwa mwezi wa nne baada ya wao kumaliza migogoro yao,
SHIDA IKAANZA KWA WATANZANIA WASIO KUWA NA HAKI RASILIMALI ZAO.
Kwa kweli inasikitisha ndugu zangu unaweza kutamani Mwisho wa Dunia kama Upo Basi uje Mapema Uwapumzishe watu kutoka sehemu mbalimbali nimeshudia watu wakimiminika kutoka sehemu mbalimbali wakija kutafuta madini ya dhahabu,na sheria ndio imekwisha kuwa ngumu bila kitambulisho haurusiwi kuingia Mgodini humo,kwani baada ya mgogoro kwisha walizungushia senyenge, Ndugu zangu kwa kweli sehemu hiyo kuna dhahabu lakini zinagharimu maisha ya watanzania,
Mtu huyo amekodi askari anaowalipa, Askari hawo wamekuwa kama makaburu wanapiga watu mpaka kuwa vilema, na hata kupoteza Uhai ikitokea umepita na matope kwenye nguo utapigwa kama umbwa, kwani ukibahatika kuosha yale utapata dhahabu,
Mgodi huu unaenda kinyume na haki za binadamu,pia nilishudia mwanafunzi mwenzangu alikwenda mgoni huko,alikosea mashariti kupita sehemu ilioandikwa kwa njia hii kwa ajili ya magari,
kwa kweli ukiwa huku inasikitisha sana Kwa hiyo Viongozi wajaribu kuangalia watu hawa wanaopigwa mpaka kuwa vilema hatimaye kupoteza maisha yao,(gitumabula@gmail.com)