Wamtaa huu
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 168
- 55
1.Katibu wake mkuu anakabiliwa na kesi aliyofunguliwa na Rose Kamili.
Kwamba anamuwekea pingamizi la ndoa iliyokuwa imetajwa kufanyika july 21 mwaka huu.Pamoja na mambo mengine Kamili anadai alipwe fedha za matunzo ya watoto.
Hali hii kwa katibu mkuu wa chama inamfanya kupoteza muda mwingi kudeal na kesi hiyo na chama kukabiliwa na wakati mgumu.Pia mahasimu wao wa kisiasa wanatumia mwanya huo kuwaharibia kuwa kuhusu uadilifu na hawafai kuongoza nchi.
2.Wabunge wa chadema ambao bado hawajatajwa majina wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya mfuasi wa CCM yaliyotokea juzi Ndago mkoani Singida.Akiongea kwa kujiamini mbunge Mwigulu Nchemba leo asubuhi bungeni amedai kuwa na ushahidi wa sms za vitisho kutoka kwa wabunge wao ambazo zinawaunganisha moja kwa moja wabunge hao wa chadema.Pia Spika Makinda alidai kufahamishwa jambo hilo na kulaani kitendo hiko na kulitaka jeshi la polisi lichukue hatua stahiki.Hapa chama kimewekwa pabaya kwakuwa makada wake na viongozi waandamizi wanatuhumiwa kuhusika na mauaji.
3.Kiongozi makini wa chama na katibu mwenezi taifa John Mnyika anakabiliwa na mashtaka ya kuthibitisha maneno aliyoyatoa hivi karibuni dhidi ya Mwigulu Nchemba kuwa anahusika kwenye kashfa ya EPA.Kuna viashirio vingi kuonyesha kuwa ushahidi ama haujawasilishwa au haukidhi kujitoa kwenye sakata hilo.Kama hivyo ndivyo Mnyika atapelekwa kwenye kamati ya haki na madaraka ya bunge na anaweza apewe adhabu kali.
Hili linakipa chama wakati mgumu.Mnyika anajulikana umuhimu wake kwa chadema ndani na nje ya bunge.Kukosekana kwake bungeni na/au kutumia muda mwingi kupambana na hili suala kunainyima chadema kuufaidi ufanisi wake wa kipekee kwa 100%.
4.Hivi karibuni ililipotiwa kwenye vyombo vya habari kuwa kuna makada watatu wa chadema wawili kati yao wakiwa ni viongozi na wote wakiwa ni wajumbe wa kamati kuu taifa ya chama kutishiwa maisha yao na kinachoitwa usalama wa taifa.Viongozi hao ni katibu mkuu taifa Wilbroad Slaa,John Mnyika(uenezi taifa) na Godbless Lema.Hili pia ni chungu kwa chama na linalenga kufifisha nguvu ya chadema inayoenea kwa kasi kwani viongozi wake muhimu wanatembea na hofu ya kuhofia maisha yao wakati wowote na hivyo kukipa chama wakati mgumu.
Ndio kazi uliozo tumwa ambazo posho zake ni tishert za kijani.
Wewe ndio una wakati mgumu maana inaoneka wewe ndio umefungua kesi ya kumdai Dr.
Pia una wakati mgumu maan wewe na chama chako hamna pakushika kila kitu chadema.
Ndugu yako kova ameona asingizie mahakama baada ya uongo kuisha
PARTISAN SECURITY PERSONNEL IS A FAMILY NOT GOOD ENOUGH FOR A COUNTRY COMMITTED TO MULTIPARTY POLITICAL DEMOCRACY AND THE TENETS OF GOOD GOVERNANCE
The reputation of the Tanzania Police Force and the larger security fraternity by extension is AT ITS LOWEST TO-DATE than ever before in history of this country.
Indeed, to heel fully out of this kind of a self-imposed ethical, justice and fairness doldrum, it may very well require a highly focused sweeping security apparatus reforming in alignment with the present day pluralistic political set up of our society hand of time for them to win back public faith and support in their duties.
It is such an absurdity that these days no one can ever tell you the difference between what is a National Interest from tht which is purely a partisan CCM interest.
The security personnel are either willingly in choice to both CCM and all that which are painted, seen and felt CCM or the are in a forced mutiny of NOT serving their true boss who are the tax-payers from across-sectional political and religious camp.
How I long for those good old days when the common citizens' wishes and interests were put at the top of every other business of the security personnel.
How hard it has since become of we Tanzanians that we just can't resist a feel of being such an orphaned nation in terms of able, fair and up-right political leadership or may be Mwalimu Nyerere ma have been just going out of his ways to offer us much more than what a leader of his stature is require to do!!!!!!!
We need change NOW AND HERE for all crucial apparatus of governance, individual mind-sets and heightened NATIONAL (Not CCM) ETHOS and total arrest for corruption and embezzlement of large chunks of funds from public coffers!
Let them say oposition are like Mau mau just because they are fighting for real freedom of people of this country.
Nyerere fought for the country's freedom, and it is high time chadema to fight for the people's freedom.
Mandela was sent to prison due to his critical resistance against the appartheid regime, and now it is like the same to CDM.
CDM go! go! go!
You are lost my friend, You need to learn the season. No more CCM 2015Na hili ndilo tatizo la baadhi ya wanachadema humu JF.Ni bora kukisaidia chama kivuke salama kutoka hapa badala ya kujifariji kwa ushabiki wa kipumbavu.Mambo sio mazuri tukisaidie chama chetu kitoke salama.