Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Ben ukweli huu uliokuwa unampa pengine ndio umemfanya alipopewa kuongoza kikosi cha kisasi (wasio julikana) ukapotea bila kutuaga.Ni fedheha sana kwa mtu aliyemtuhumu Mwenyekiti wake aliyeshinda uchaguzi kwa rushwa kukubali kuteuliwa na kuwa katibu wa mapambio chini ya uongozi wa mtoa rushwa kwenye chaguzi.
Na wewe ni miongoni mwa wapambanaji wa ufisadi?
Damu yako italipwa tuu siku moja. Na siku hiyo haiko mbali.