Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Nilipitwaje na huu Uzi. Asanteni Kenya kwa kumwangusha bashite. Ajifunze kutokuhusisha mali ya wananchi na ulimbukeni wake wa kisiasa.
Kenya 3 -Makondakta2.

4G LTE naona umepita kimya kimya. Nakusalimia.
 
Nilipitwaje na huu Uzi. Asanteni Kenya kwa kumwangusha bashite. Ajifunze kutokuhusisha mali ya wananchi na ulimbukeni wake wa kisiasa.
Kenya 3 -Makondakta2.

4G LTE naona umepita kimya kimya. Nakusalimia.
😂😂😂😂
Asante kwa salam na salam zikufikie pia.
Mpambano wa wenyewe huu, sina mbavu za kutiana adabu aisee..
 
Tz . Magufuli analia nini
FB_IMG_15619528875909755.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom