Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Engineer Michael Olunga. Tanzania fanyeni mziki michezo hamuiwezi
 
Nilivyo mnafkiii, nalaza status whatsup kabisa.
Kwamba " Hongera sana Taifa stars , mmedhubutu. Kwa hatua hiyo nyie ni washindi.... Hongera RC wangu Makonda wewe ni jembee tupo pamoja" hapo na namba ya boss naisave ili aone.
Haki ya nani😫😫😫😫😫
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom