Harambe za Lowassa zimempelekea Rais uwamuzi huu.

Harambe za Lowassa zimempelekea Rais uwamuzi huu.

Spear

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2008
Posts
507
Reaction score
32
Ukiangalia kwa haraka utagunduwa Harambe za lowassa zimewashituwa wengi ambao hawapo upande wake michango yake ni mikubwa mmno, hotuba zake zina makali kwa CCm na serekali yake na ndio hapo Rais akaona ipo haja na yeye awakutaniche watu ambao anaimani watakuwa pamoja nae kumunga mkono (iliyopita si ndwele ndwele ijayo)
 
Ukiangalia kwa haraka utagunduwa Harambe za lowassa zimewashituwa wengi ambao hawapo upande wake michango yake ni mikubwa mmno, hotuba zake zina makali kwa CCm na serekali yake na ndio hapo Rais akaona ipo haja na yeye awakutaniche watu ambao anaimani watakuwa pamoja nae kumunga mkono (iliyopita si ndwele ndwele ijayo)
mbona unachoeleza hakieleweki?? au umetoka usingizini ukaamua kupost tu ikiwa ni kama sehemu ya kutolea uvivu, this is the place for great thinkers sasa hapo tujadili nini??
 
Ukiangalia kwa haraka utagunduwa Harambe za lowassa zimewashituwa wengi ambao hawapo upande wake michango yake ni mikubwa mmno, hotuba zake zina makali kwa CCm na serekali yake na ndio hapo Rais akaona ipo haja na yeye awakutaniche watu ambao anaimani watakuwa pamoja nae kumunga mkono (iliyopita si ndwele ndwele ijayo)
Samahani mimi napita tu nitachangia baadaye ila rekebisha kidogo neno moja kwenye kichwa cha thread yako. Badala ya UWAMUZI andika UAMUZI.
 
Labda katumwa,ila kasahau ujumbe! Unajua hata great thinkers wana uwezo tofauti. Lakini wakutumwa ni wa aina yake zaidi.
 
mods mnakuwaga mmelala au mmelewa mpaka post hizi mnaziruhusu?
 
Back
Top Bottom