Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 2,258
- 6,694
Leo jioni nikiwa natoka kwenye harakati za mtu mweusi njiani kuna mama alikua anauza maharage mabichi yaliyomenywa, nikasema ngoja nisapoti family business kwani mama yangu kule kijijini anafanya biashara kama hizo..
nikampa buku mbili akanipa maharage yangu nikasema Sir god asante mawazo ya leo kuhusu kula yametamatika, na final product ikawa ndio hii hapa
Nikaona nipige picha nilete JF watu wapoze njaa wana comment tokea asubuhi
Asanteni kwa kushiriki
nikampa buku mbili akanipa maharage yangu nikasema Sir god asante mawazo ya leo kuhusu kula yametamatika, na final product ikawa ndio hii hapa
Nikaona nipige picha nilete JF watu wapoze njaa wana comment tokea asubuhi
Asanteni kwa kushiriki