Harakati za jumuia ya uamsho ,mapokezi kwa wananchi na mbio za kuuvunja muungano

Hayo ni mawazo yao au wanatumiwa ....

SMZ imewatuma kwa7bu inawaogopa magamba wenzao wa Tanganyika, juzi tu nusura Uamsho ifutwe lakini SMZ ikazuia na kusema ni hatari tena kubwa kuifuta jumuiya hiyo na imepewa vibali kuendesha harakati zao popote huko Zenji.

Watanganyika na sisi tuoneshe uzalendo wa nchi yetu tuachane na hawa hawa Wazenji.
 
Nimebahatika kuhudhuria mikutano ya Jumuia ya kiislam ya Uamsho inayofanyika kwa kasi visiwani Zanzibar
1)Mkutano uliofanyika Makunduchi kusini Unguja. Mwitikio ulikuwa mkubwa . umati wa watu walifurika.Magari kutoka Mjini yalikuwa mengi sana
2)Mkutano wa Uwanja wa Lumumba hivi Karibuni. Huu naufananisha na mkutano wa vyamavya siasa. yaani Umati ulikuwa mubwa. mwitikio ulikuwa mkubwa sana. uwanja huu unaweza kuufananisha na uwanja wa Jangwani Dar.Uwanja huo ulijaa mpaka wengine kukosa nafasi
3)Viwanja vya sebleni jumamosi iliopita. mwitikio ulikuwa Mkubwa sana
WANACHOAMBIA WAZANZIBAR
1)Zanzibar inanyonywa na wazanzibar wajitoe kwa hali na mali kuilinda nchi yao.
2)Zanzibar ijitoe katika Muungano
3)Wanamlaumu Mwalimu Nyerere kwa kuimeza Zanzibar

img_3129.jpg

baadhi ya Umati wa wasikilizji

mkuu picha na maelezo yako mbona vinapingana sana mimi watu ninaowaona hawavuki 100 maana umeendelea kusisitiza watu wengi sana
 
Sasa hawa watu wanaohesabika wewe ndio unaita umati!!....hivi unavifahamu kweli viwanja vya Jangwani? mimi kwa umakini kabisa hapo naona ni uwani kwa mtu, na waliopo hapo mwenye elimu ya juu kabisa ni darasa la 6.

VIWANJA VYA LUMUMBA LEO..WASIOTAKA MUUNGANO WAMEAMBIWA WANYOOSHEE MIKONO...HATIMAYE UMATI HUO WOTE ULINYOOSHA MIKONO
531393_10150673060866176_721596175_9684306_222099803_n.jpg
 
kumbe wanaotaka kuuvunja muungano ni jumuiya ya dini ya kiislamu.
WANAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO NI 90% YA WAZANZIBARI WAKISAIDIWA NA VYAMA VYA JUMUIYA YA KIISLAM KWA KUCHAMBULIWA HISTORIA YA ZANZIBAR TOKEA KABLA YA KUFANYA MUUNGANO NA TANGANYIKA...KWA SABABU SHULENI WAZANZIBARI WALIDANGANYWA KUHUSU HISTORIA YA NCHI YAO
582704_10150670145991176_721596175_9676441_547865942_n.jpg


HAO NDIO VIONGOZI WA JUMUIYA ZA KISLAM ZANZIBAR
 
Hata kama wazanzibar hatujasoma hata darasa moja sisi tunajielewa kuliko wadanganyika. Ambao wengi hawajui hata kuandika majina ya wanauza magazeti kwa rangi kwenye foleni za dar
 
sasa hawa watu wanaohesabika wewe ndio unaita umati!!....hivi unavifahamu kweli viwanja vya jangwani? Mimi kwa umakini kabisa hapo naona ni uwani kwa mtu, na waliopo hapo mwenye elimu ya juu kabisa ni darasa la 6.

mkuu darasa la 7 wanafanya mageuzi ya siasa.ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi, ndio wanaomsha mabadiliko. Phd za bongo ni za makabatini. Wakipewa nafasi ya kuongoza nchi ufisadi tu, wafugaji na wakulima hawajui hata haki zao. Hata wakibiwa mabilion hakuna kitu. Yaani kama elimu yenyewe ya wabongo hii. Bora std 7 ya znz inahua inachofanya
 
Watanganyika nganganieni tanzania ,zanzibar inaondoka mtabaki na magamba na ufisadi wa trillions na kuenzi fikira za nyerere maisha watu hawana hata huruma wanaiba tu mali ya umma looh!
 
ajenda ya nyuma ya pazia wanaambiwa pia hao wananchi au mnawatumia tu?
 
hawa jamaa njaa tu zinawasumbua na uelewa mdodo kuttokana na kukosa elimu dunia, walidhani madrasa ndio shule
 
JK anajua muungano hauna tija na nadhani hataki makelele ya kila siku yanayomuumiza kichwa ila tatizo anaogopa kuingia katika historia kuwa muungano ulifia mikononi mwake!
 
wazenj, sauti zenu mnazidi kuzipaza. sawa. jaribuni kutafakari hili ambalo nimelitoa kwenye uzi mwingine: Mvutano kati ya unguja na pemba ni mkubwa sana. Pia pemba na unguja ni nchi mbili tofauti. huko pemba 'uarabu' ndio wenye kutawala na ndio wenye nacho wakati ngozi nyeusi ni wakwezi tu, watu wa chini na wasiokuwa na chochote. wakwezi wanatumika tu kwa kivuli cha uislamu. lakini unguja na pemba watambue kuwa kivuli cha uislamu kitawarubuni wenye ngozi nyausi kurejeshwa kwenye utumwa mambo leo.

tuwakumbushe tu yanayotokea huko mali ambapo watuareg wamechukua eneo la kaskazini bila kujali kama wananchi wengi wa mali (zaidi ya asilimia 99) ni waislamu. mbona huko uislamu siyo hoja? kwa hiyo, wenzetu hawa wasikubali kurubuniwa kwa kivuli cha uislamu kama wanavyoonekana kwenye video za uamusho.

pia wakubaliane na nasaha za Mwalimu Nyerere kwamba bila muungano hakuna zanzibar, kuna pemba na unguja. na hata unguja, uzanzibari na uzanzibara utajitokeza kwa nguvu na kazi mpya kama video za uamusho zinavyodhihirisha. hata somalia ni waislamu asilimia 100. mbona hakuna umoja? watafakari hawa ndugu zetu
 
hili nalo neno
kama ikibidi, leo kabla ya kuanza mjadala wa katiba tuuvunje muungano, mjadala uwe nchi yetu kwa mipaka yake ukiondoa znz iitweje,, JF tuanzishie page tuanze mjadalawa katiba kwa mapendekezo ya jina la nchi, bendera, then tuandae mtaji wetu (mali asili, mila, desturi, n.k) ndipo tujadili jinsi ya kuendesha nchi yetu mpya... sio katiba mpya ya nchi iliyopo "naskia kichefuchefu kutaja jina lake" kama kuungana na zanzibar tutaungana nayo EA, AU, UN etc. muungano na znz usiwe hoja kwenye katiba yetu tuuvunje kabla hatujaanza kujadili kielekezi chatu pls
 
napenda hizi harakati zivuke maji zije bara vuguvugu la ki muslim brotherhood ndiyo chachu ya mabadiliko tanzanzania baraa igawanyike tazania kusini na tanzania kaskazini
 
dunia nzima leo inangangania kuungana wachache wanangangania kutengana....
hawajui wafanyalo kwani hilo ni kundi linalotaka kulipiza kisasi kutokana na mapinduzi yelee ya zamani,
linatumia issue ya muungano kwa masilai yao binafsi pamoja na kutukana viongozi wa kitaifa hadharani...
hata halina aibu...ukijaribu kuwaanagalia wanavofanya mambo yao unagundua kwamba hakuna hata mmoja mwenje elimu hata ya cheti,shahada hata stashahada............yaani ni sharishari tuuu......!
 
Kabla watz hawajatoa maoni ya kurekebisha Katiba wangeulizwa kama wanautaka muungano? Mie binafsi sitaki kusikia hata neno lenyewe!
 
Back
Top Bottom