GE2010 Harakati za Dr Slaa Na Chadema Katika Picha 2010

GE2010 Harakati za Dr Slaa Na Chadema Katika Picha 2010

kinepi_nepi

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
869
Reaction score
239
Jangwani 12.jpg jangwani 5.jpg Jangwani 11.jpg Jangwani 14.jpg slide_9220_123190_large.jpg slide_9220_122251_large.jpg slide_9220_122269_large.jpg View attachment 14856 slaa_akihutubia_mbalizi.jpg slide_9220_122265_large.jpg Dr. Slaa 10.jpg Dr. Slaa 5.jpg DR. Slaa 8.jpg dr slaa moshi2.jpg Dr. Slaa 12.jpg dr slaa moshi.jpg DR. Slaa 6.jpg View attachment 14846 dr slaa moshi1.jpg Dr. Slaa 11.jpg Dr. Slaa 7.jpg dr slaa moshi3.jpg Dr. Slaa2.jpg Dr. slaa4.jpg View attachment 14839
pencil.png
 
Hakikisha unaziangalia zote 25, utaona DR. Slaa akiapishwa kuwa Raisi wa awamu ya Tano Tanzania huru. Wengi wamefurahia ushindi huu.
octaber 31 2010 tupige kura .
 
Naona umetuwekea picha za Obama na Christmas Tree nyuma ya White House. Swali zinausikaje na harakati za CHADEMA na Dr. Slaa?
 
Naona umetuwekea picha za Obama na Christmas Tree nyuma ya White House. Swali zinausikaje na harakati za CHADEMA na Dr. Slaa?

Umemwona Dr Slaa lakini, kina Obama wanachoma Nyama wanasherehekea kumwona Dr anakaribia ikulu.
 
Je... wamejiandikisha kupiga kura?? isije ikawa ni mavuvuzela tu, mwisho wa siku hawapigi kura
 
Je... wamejiandikisha kupiga kura?? isije ikawa ni mavuvuzela tu, mwisho wa siku hawapigi kura
hayo ndo maneno yenu ccm tumeyazoea kwa hiyo waliojiandikisha ni akina nani kama si wananchi!??
 
Tunamwamini, Tunamhitaji. Dr Slaa, you are the hero of our country!! inabidi tuanzishe siku ya kupinga ufisadi nchini.
 
bado picha moja wakuu, picha itakayopigwa uwanja wa uhuru wakita dokta wa falsafa akiapishwa kuwa rais wa awamu ya 5. ntakuwa mitungi siku hiyo sipati picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom