Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 51
- 141
ZIARA YA KAMATI YA UTEKELEZAJI YA JUMUIYA YA WAZAZI MBEZI JUU
Kamati ya utelekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi ikiongozwa na Mwenyekiti Oswald Mwasuka, imefanya ziara kwenye matawi ya CCM kukutana na viongozi wa matawi kuzungumza mambo kazaa
1. Utekelezaji wa Ilani ya CCM
2. Kuimarisha chama
3. Kubuni miradi
4. Kuongeza wanachama
Hayo yamezungumzwa na viongozi wa Jumuiya na kutiliwa mkazo na Comrade Ally Maftah ambae amekuwa akisisitiza suala la kuibuwa fikra za kujitegemea kwa kujiinua kiuchumi.
Ziara hiyo imeambatana na maombolezo ya Mwl Julius Nyerere, ambapo viongozi hao wamesisitiza kumuenzi Mwl Nyerere kwa kuenzi siasa za ujamaa na kujitegemea.
Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Kamati ya utelekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi ikiongozwa na Mwenyekiti Oswald Mwasuka, imefanya ziara kwenye matawi ya CCM kukutana na viongozi wa matawi kuzungumza mambo kazaa
1. Utekelezaji wa Ilani ya CCM
2. Kuimarisha chama
3. Kubuni miradi
4. Kuongeza wanachama
Hayo yamezungumzwa na viongozi wa Jumuiya na kutiliwa mkazo na Comrade Ally Maftah ambae amekuwa akisisitiza suala la kuibuwa fikra za kujitegemea kwa kujiinua kiuchumi.
Ziara hiyo imeambatana na maombolezo ya Mwl Julius Nyerere, ambapo viongozi hao wamesisitiza kumuenzi Mwl Nyerere kwa kuenzi siasa za ujamaa na kujitegemea.
Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam