Happy Valentine's in advance dear

Mapenzi pekee ndo njia wa wajinga kuwaburuza wenye akili
 
Happy vals day niliowapenda, ninaowapenda na nitakaowapenda. Have fun pipo!!
 
Happy Valentine’s Day [mention]Unique Flower [/mention] Nakupenda wangu wa ubani wala sina hofu na lako penzi la huba hakika kupendana kwetu sio mwiko kwani mwili wako ni wangu na wangu ni wako nitunzie lako tunda nile nitakavyo
nakupenda mpaka nakupenda tena mmwwaaaah wasikuhadae wale wasojua kupenda waniachie wewe wangu wa pekeee




My Honey [mention]Unique Flower [/mention]
natamani ungekuwa karibu nami
Sasa upo mbali sijui ni muda gani utakuja kuutuliza wangu mtima
Una kila kitu chenye kunifanya nikusifie na kujivunia kuwa nawe
Siwezi ficha wangu upendo kwako
Popote ninapo kuwa nitaonyesha wangu upendo kwako
NAKUPENDA SANA EWE WANGU KIPENZI
[mention]Unique Flower [/mention]
 
Nasubiri kesho zamu yangu na mama wa kambo. Leo wacha baba afaidi. Uzuri mbususu hainaga makombo
 


Sikukuu Ya Makafr Hii Wameuteka Ulimwengu Wote

Tunaongea Valentine Valentino
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…