Hakuna MUNGU Kuna miungu ,njoo ufunguliwe macho ,maana wengi n majuha so hawana hufahamu wa hiyo biblia,na isitoshe mnasoma biblia ya kiswahili iliyotafsiriwa vibayaSoma vizuri biblia "vitabu vyote vya Musa".
Uh! Nije huko wapi?Hakuna MUNGU Kuna miungu ,njoo ufunguliwe macho ,maana wengi n majuha so hawana hufahamu wa hiyo biblia,na isitoshe mnasoma biblia ya kiswahili iliyotafsiriwa vibaya
Elen white alikua mla kitimoto mzuri sana lakini akawapiga biti wasabato wasile kitimoto, dhambi mbaya sana ya unafiki na ubinafsi.
KJV Bible Exodus 22:28,You shall not revile the gods nor curse the ruler of your people.Uh! Nije huko wapi?
Njoo nikufundishe ,njoo nikufungue macho ,Yesu hajawai kuwepo ,Mwana wa Adam ambayo kiuhalisia angalitakiwa kutafsiriwa katka kiswahili kama "Mwana wa Mtu" kuendana na neno sahihi la kiingereza "Son of Man" ambalo sio Mwana wa Adamu (Son of Adam) kama ilivyotafsiri ya biblia ya kiswahili.Yesu sio Mwana wa Mtu (Son of Man) ni muhusika wa kifasihi aliyetumiwa na waandishi wa Agano Jipya kumuongelea Mwana wa Mtu ambaye n mtu halisi kihistoria na huyu mtu ndiye aliyelibomoa hekalu la Yerusalemu na kuuteketeza mji mwaka 70 AD.ni hivi Agano Jipya liliandikwa baada ya maangamizi ya Yerusalemu ya mwaka 70 A.D nenda hata sasa ukagoogle hapo majibu yatakuwa tu ni kati ya 70AD na 80 AD Agano Jipya liliandikwa.na lengo la kuandika lilikuwa ni kumtukuza aliyeshinda vita ya 70AD na kuonyesha kwamba yeye ndiye aliyekuwa masihi mtabiriwa atakauetawala ulimwengu.na ndio maana wakamtumia muhusika Yesu kwa kumrudisha nyuma kihistoria kuonyesha kwamba Kuna nabii alitabiri ujio wa Mwana wa Mtu (Son of Man) atayekuja kuuangamiza Yerusalemu na kutawala Dunia kwa utukufu wa baba yake.sasa huyu Mwana wa Mtu (Son of Man) ni nani?,soma Daniel 9:26,unasema na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji na patakatifu.lakini katika biblia ya kiingereza "watu wa mkuu " wanaitwa "the people of the prince" yaani "watu wa Mwana wa mfalme ".Sasa huyu prince ni nani?,na the people of the prince ni kina nani?.Kujibu swali hili soma Marko 13:34 inasema kwa kiingereza "for the Son Of Man is as a man taking a far journey who left his house and gave authority to his servants and ,to every man his work and commanded the porter to watch ".Kwa hiyo Mwana wa Mtu (Son of Man) ni mtu anayechukua safari ya mbali na kuacha nyumba yake.Mathayo 16:28 inaonyesha kuwa Mwana wa Mtu ana ufalme wake .Mathayo 16:27 inaonyesha kuwa ana baba yake aliye na utukufu yaani ukuu na ana malaika zake.Mathayo 13:41 inasema Mwana wa Mtu atatuma malaika zake watakusanya machukizo na hao watendao maasi.swali hapa hao waitwao machukizo na watendao maasi ni kina nani?.Sasa ndugu yangu kutoka katika mafungu hayo juu nataka nikufumbue macho wewe mwafrika mwenzangu,kwanza huyo prince wa Daniel 9:26 ndiye Son of Man,baba yake alikuwa na ufalme ,huyo si mwingine ni Tito aliyeangamiza Yerusalemu 70 AD,Tito alikuwa ni Mwana wa Vespasian ambaye baadae Vespasian alikuja kuwa ni Kaisari wa Rumi .the people of the prince wa Daniel 9:26 ndio hao katika Mathayo 13:41 anawaita "malaika zake wakusanyao machukizo na watendao maasi ambao kiuhalisia hao machukizo ni wayahudi waliofanya uasi dhidi ya dola la Rumi mwaka 66AD ,kitu kilichofanya mfalme Nero wa Rumi kumtuma kama wake Vespani kipindi hicho bado hajawa Kaisari akaongozana na mwane Tito kwenda Yudea kuzima uasi wa wayahudi, Vespasian aliacha vita inaendelea akarudi Rumi kusimikwa kuwa Kaisari baada ya wanajeshi watiifu kwake kumuua Vitellius aliyekuwa amemrithi Nero,hili tukio fumbo lake ni Luke 19:12 inasema "a certain nobleman went into a far country to receive a kingdom for himself and return .huyu nobleman ni Vespanian.soma Yohana 12:34 inaonesha ni jinsi hili jambo lilivyotengenezwa kwamba iwe ni ngumu kumjua huyu anayeitwa Mwana wa Mtu (Son of Man) ambaye kiuhalisia ni Tito(Titus) na muhusika mkuu katika huu mchezo ni Myahudi Josephus alisaidia sana katika uandishi ambaye mm nasema Josephus Bar Matathias ambaye ndiye muhusika Paulo.kiufupi Wakristo wamekuwa wakimuabudu Tito na baba yake Vespasian,kitu ambacho Kiko hivi Son of Man ,Son=Tito ,Man =Vespasian,God the Son =Tito ,God the Father =Vespasian,read Matthew 11:27Dini ni Njia! Na hiyo Njia ni Yesu Kristo mwenyewe,(Yohana14:6)
Hiyo Njia ni Kweli ya kumhakikishia mtu kumwona Mungu.
Yesu Kristo Ndiye Sabato yetu katika Agano Jipya! Sabato ni Pumziko! Alikuja Kutuweka Huru na Kutupumzisha kutoka kwenye utumwa wa Dhambi,(Yohana8:31-34)(Mathayo11:28-29)
Kwa kuwa Yesu Kristo ni wa Jana,Leo hata milele,kila iitwapo Leo ni Sabato,(Waebrania13:8) na (Waebrania4:4-7)
Kwa hiyo Sabato siyo ile iliyoadhimishwa siku ya 7 ambayo ilikuwa ni Sabato ya kupumzishwa shughuli za mwili,(Kutoka20:8-10).
Ile ilikuwa ni Kivuli cha Yesu Kristo ambaye Ndiye Sabato ya Kweli!
Kwa hivyo hatuhukumiwi na Sabato ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kumpumzisha mtu na Dhambi,
(Wakolosai2:16-18)
Basi kwa kuwa Yesu Kristo yupo hai tumpelekee dhambi atupe Pumziko la Milele.
Huna cha kunifundisha hapo!Njoo nikufundishe ,njoo nikufungue macho ,Yesu hajawai kuwepo ,Mwana wa Adam ambayo kiuhalisia angalitakiwa kutafsiriwa katka kiswahili kama "Mwana wa Mtu" kuendana na neno sahihi la kiingereza "Son of Man" ambalo sio Mwana wa Adamu (Son of Adam) kama ilivyotafsiri ya biblia ya kiswahili.Yesu sio Mwana wa Mtu (Son of Man) ni muhusika wa kifasihi aliyetumiwa na waandishi wa Agano Jipya kumuongelea Mwana wa Mtu ambaye n mtu halisi kihistoria na huyu mtu ndiye aliyelibomoa hekalu la Yerusalemu na kuuteketeza mji mwaka 70 AD.ni hivi Agano Jipya liliandikwa baada ya maangamizi ya Yerusalemu ya mwaka 70 A.D nenda hata sasa ukagoogle hapo majibu yatakuwa tu ni kati ya 70AD na 80 AD Agano Jipya liliandikwa.na lengo la kuandika lilikuwa ni kumtukuza aliyeshinda vita ya 70AD na kuonyesha kwamba yeye ndiye aliyekuwa masihi mtabiriwa atakauetawala ulimwengu.na ndio maana wakamtumia muhusika Yesu kwa kumrudisha nyuma kihistoria kuonyesha kwamba Kuna nabii alitabiri ujio wa Mwana wa Mtu (Son of Man) atayekuja kuuangamiza Yerusalemu na kutawala Dunia kwa utukufu wa baba yake.sasa huyu Mwana wa Mtu (Son of Man) ni nani?,soma Daniel 9:26,unasema na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji na patakatifu.lakini katika biblia ya kiingereza "watu wa mkuu " wanaitwa "the people of the prince" yaani "watu wa Mwana wa mfalme ".Sasa huyu prince ni nani?,na the people of the prince ni kina nani?.Kujibu swali hili soma Marko 13:34 inasema kwa kiingereza "for the Son Of Man is as a man taking a far journey who left his house and gave authority to his servants and ,to every man his work and commanded the porter to watch ".Kwa hiyo Mwana wa Mtu (Son of Man) ni mtu anayechukua safari ya mbali na kuacha nyumba yake.Mathayo 16:28 inaonyesha kuwa Mwana wa Mtu ana ufalme wake .Mathayo 16:27 inaonyesha kuwa ana baba yake aliye na utukufu yaani ukuu na ana malaika zake.Mathayo 13:41 inasema Mwana wa Mtu atatuma malaika zake watakusanya machukizo na hao watendao maasi.swali hapa hao waitwao machukizo na watendao maasi ni kina nani?.Sasa ndugu yangu kutoka katika mafungu hayo juu nataka nikufumbue macho wewe mwafrika mwenzangu,kwanza huyo prince wa Daniel 9:26 ndiye Son of Man,baba yake alikuwa na ufalme ,huyo si mwingine ni Tito aliyeangamiza Yerusalemu 70 AD,Tito alikuwa ni Mwana wa Vespasian ambaye baadae Vespasian alikuja kuwa ni Kaisari wa Rumi .the people of the prince wa Daniel 9:26 ndio hao katika Mathayo 13:41 anawaita "malaika zake wakusanyao machukizo na watendao maasi ambao kiuhalisia hao machukizo ni wayahudi waliofanya uasi dhidi ya dola la Rumi mwaka 66AD ,kitu kilichofanya mfalme Nero wa Rumi kumtuma kama wake Vespani kipindi hicho bado hajawa Kaisari akaongozana na mwane Tito kwenda Yudea kuzima uasi wa wayahudi, Vespasian aliacha vita inaendelea akarudi Rumi kusimikwa kuwa Kaisari baada ya wanajeshi watiifu kwake kumuua Vitellius aliyekuwa amemrithi Nero,hili tukio fumbo lake ni Luke 19:12 inasema "a certain nobleman went into a far country to receive a kingdom for himself and return .huyu nobleman ni Vespanian.soma Yohana 12:34 inaonesha ni jinsi hili jambo lilivyotengenezwa kwamba iwe ni ngumu kumjua huyu anayeitwa Mwana wa Mtu (Son of Man) ambaye kiuhalisia ni Tito(Titus) na muhusika mkuu katika huu mchezo ni Myahudi Josephus alisaidia sana katika uandishi ambaye mm nasema Josephus Bar Matathias ambaye ndiye muhusika Paulo.kiufupi Wakristo wamekuwa wakimuabudu Tito na baba yake Vespasian,kitu ambacho Kiko hivi Son of Man ,Son=Tito ,Man =Vespasian,God the Son =Tito ,God the Father =Vespasian,read Matthew 11:27
Mtafute MUNGU wa kweli achana na mambo ya uchawa wa dini
Dini ni Njia! Na hiyo Njia ni Yesu Kristo mwenyewe,(Yohana14:6)
Hiyo Njia ni Kweli ya kumhakikishia mtu kumwona Mungu.
Yesu Kristo Ndiye Sabato yetu katika Agano Jipya! Sabato ni Pumziko! Alikuja Kutuweka Huru na Kutupumzisha kutoka kwenye utumwa wa Dhambi,(Yohana8:31-34)(Mathayo11:28-29)
Kwa kuwa Yesu Kristo ni wa Jana,Leo hata milele,kila iitwapo Leo ni Sabato,(Waebrania13:8) na (Waebrania4:4-7)
Kwa hiyo Sabato siyo ile iliyoadhimishwa siku ya 7 ambayo ilikuwa ni Sabato ya kupumzishwa shughuli za mwili,(Kutoka20:8-10).
Ile ilikuwa ni Kivuli cha Yesu Kristo ambaye Ndiye Sabato ya Kweli!
Kwa hivyo hatuhukumiwi na Sabato ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kumpumzisha mtu na Dhambi,
(Wakolosai2:16-18)
Basi kwa kuwa Yesu Kristo yupo hai tumpelekee dhambi atupe Pumziko la Milele.
Labda kama Mungu mjomba wao!!!Wasabato wote peponi
The enslaved mind ,the blind one ,wew ni kipofu ,wew ni mtumwa,uliye katika kitanzi na hakika huoni kwa sababu umeshaweka mikono juu ,huna roho wa Afrika,labda kizazi chako kitakomboka.WEWE NI MTUMWA unayesubiria ahadi hewa ya kuja kwa Yesu ,Jesus never existedHuna cha kunifundisha hapo!
Miongoni mwa madhehebu ya kikristo yenye watu wajinga basi wasabato wapi top 2Labda kama Mungu mjomba wao!!!
Surah Al-Baqarah (2:65) states:
"And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'"
Context of this verse:
This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah regarding the Sabbath. Allah had ordered them to rest and refrain from working on the Sabbath (Saturday), but some of them violated this command. The story describes how, when they disobeyed, Allah punished them by transforming them into apes as a punishment for their disobedience and rebellion against His command. This serves as a reminder of the consequences of not following God's commandments and the seriousness of violating His rules.
Key Message:
This verse emphasizes the importance of obeying God's commands, as failure to do so results in punishment and negative consequences. It also serves as a warning to others to learn from the mistakes of those who disobeyed Allah in the past.
Waebrania 4:10
Maana, kila aingiaye mahali pa pumziko la Mungu atapumzika kutoka katika kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika kutoka kazi yake.
BHN: Biblia Habari Njema