Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Naomba nichukue nafasi hii kuwatakia heri na baraka washabiki wote wa Man United.
Wajaliwe kuendelea kupata matokeo kama waliyoyapata msimu uliopita na huu unao endelea, kwa miaka mingi ijayo.
Wajaliwe kuendelea kupata matokeo kama waliyoyapata msimu uliopita na huu unao endelea, kwa miaka mingi ijayo.