ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,828
Kono la mav hilo hawana loloteNasikia mnakuwa na akili sana, eti?
Kono la mav hilo hawana loloteNasikia mnakuwa na akili sana, eti?
Same to my dady...😂😂my wife ni left handed, she is smart ila akipiga mtoto kofi zito ni balaa yaani anapiga wenyewe halafu anaanza kujutia mwenyewe.
Sawa sawaNjoo kidimbwi , Kuna Ndafu na bia nyingi mnooo
Ni kila na mkono natumia right, ila nikila Kwa Kijiko natumia left,Na kula je?🙆🙆
Mmmmmh no no no nononono!!!!Ni kila na mkono natumia right, ila nikila Kwa Kijiko natumia left,
Kupiga puchu ...auTunaotumia mkono wa kushoto kunanilia na sisi si wamoja wenu mafrend? 😥
No mimi ni normal hander, sina kilema hichoNawe ni Left hander
Una kilema cha kutokujua watu Muhimu. Kama ambavyo hukujua umuhimu wa JPMNo mimi ni normal hander, sina kilema hicho
JPM angekuwa muhimu asingekufa akiwa madarakani. Acha hiyo takataka iendelee kuungua na moto wa jehanamUna kilema cha kutokujua watu Muhimu. Kama ambavyo hukujua umuhimu wa JPM
Takataka ni yule ambaye hana shukrani kama wewe. JPM ni hero wa Tanzania mpaka sasa hakuna mfanoweJPM angekuwa muhimu asingekufa akiwa madarakani. Acha hiyo takataka iendelee kuungua na moto wa jehanam
Mimi pia,I'm one of them. Ni watu wasiotabirika