Hata wale Useless incompetent Kenya Navy toka Mombasa wapo?
KDF jeshi ambalo victory memory yao ni kuiba biscuit na chocolate
View attachment 1233161
To the soldiers out there… thank you for the risks you take and the sacrifices you make.
Hawa ndio special force ya navy yao hawa jamaa nimewatesa saaana AngolaHahahaha, Hawa jamaa kituko mkuu,
Nakumbuka ile siku Al shabaab wamevamia Chuo kule Garisa jamaa walienda na Vifaru
Hahahaha, Hawa jamaa kituko mkuu,
Nakumbuka ile siku Al shabaab wamevamia Chuo kule Garisa jamaa walienda na Vifaru
Hao KDF ni sawa na mgambo tu
Hao sio wajeda hizo ni kukuWakikupata ndio utajuta..wachezea wajeda wewe
Hao KDF ni sawa na mgambo tu
Mafunzo ya mgambo wa Tz ni imara zaidi kuliko hizo kima
Askari wa KDF ni sawa na sungusungu wa ukerewa
kdf wako light years ahead in terms of training . mkianza kutumia multiple integrated laser engagement system or MILES kufanya mazoezi ya kijeshi unitag.Mafunzo ya mgambo wa Tz ni imara zaidi kuliko hizo kima
Askari wa KDF ni sawa na sungusungu wa ukerewa
KDF =Kima defence force zilipigwa ambush ya nusu saa wakapoteza askari 500 na wavaa kobaziIngieni somalia wakombozi wa afrika...ooo!!sorry..nlisahau km jwtz walipigwa mapanga kule congo na watoto wa wadogo..
Si wakiskia kile kishindo cha RPG watazirai hao jamaa