mcndomba maprosoo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 225
- 94
Tunaomba mwenyezi Mungu aweze kukulinda na kukufanikisha katika maisha yako yote, ukiendelea vema katika hekima, na kimo, ukimpendeza Mungu na wanadamu,kama alivyokuwa mtoto Yesu (Lk 2:52). Ili Mungu mwenyewe aweze kuwapiga na kuwadhuru adui watakao inuka mbele zako na kuiamuru baraka ije juu yako (Kumb 28:7-8).
Basi Mungu mwenyezi, akubarikie na kukulinda; akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; akuinulie uso wake, na kukupa amani (Hes 6:24-26).
Hata hivyo katika wakati wote tumefarijika sana na huduma yako kwani, wakati mwingine umekuwa kama mwl & mshauri ukiungana na Mfalme Daudi pale aliposema, Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama (zab 32:8).
Wakati mwingine umekuwa kama Mchungaji ukiungana na nabii Yeremia kwamba, Nami nitawapa ninyi wachungaji wanipendezao moyo wangu, watakao walisha kwa maarifa na fahamu (Yer 3:15).
Kuna wakati pia umekuwa kama mwana falsafa aliyekuwepo kabla ya Kristo lakini anayeishi leo ukifananishwa na Socrates aliyeamini kuwa, a teacher should not besiege students with a barrage of words but instead help people to discover and articulate their own hidden knowledge (Socrates: 469-399 B.C.E)
"Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yako yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo", (3Yoh 1:2)
Happy birthday..! & Stay blessed:;
Basi Mungu mwenyezi, akubarikie na kukulinda; akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; akuinulie uso wake, na kukupa amani (Hes 6:24-26).
Hata hivyo katika wakati wote tumefarijika sana na huduma yako kwani, wakati mwingine umekuwa kama mwl & mshauri ukiungana na Mfalme Daudi pale aliposema, Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama (zab 32:8).
Wakati mwingine umekuwa kama Mchungaji ukiungana na nabii Yeremia kwamba, Nami nitawapa ninyi wachungaji wanipendezao moyo wangu, watakao walisha kwa maarifa na fahamu (Yer 3:15).
Kuna wakati pia umekuwa kama mwana falsafa aliyekuwepo kabla ya Kristo lakini anayeishi leo ukifananishwa na Socrates aliyeamini kuwa, a teacher should not besiege students with a barrage of words but instead help people to discover and articulate their own hidden knowledge (Socrates: 469-399 B.C.E)
"Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yako yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo", (3Yoh 1:2)
Happy birthday..! & Stay blessed:;