Asante hata ww uloamua kunitolea maneno ya shombo......ushavunja ungo,badili id sasa;
..hiyo id yako kuitamka mpaka mtu abane pua!!??
Kesho myAsante sanaaaa,heee ww ni lini,Jana ama kesho?
.....teh hee hee,mi nimependa hiko 'kidhungu' tu;Asante hata ww uloamua kunitolea maneno ya shombo.
Si mara yako ya kwanza na nilishakupotezea sn,na umeandika hivi kwakuwa unanikumbuka namna nilivokushauri.
Anyway, it needs a wisdom man to understand a wisdom.
ID na avatar yangu umeshindwa kuvielewa kwa sababu u mjinga wa kiwango kikubwa.Kila member humu ana maana yake kwnn kajiita hivo na kwann avatar yake!Wewe unakuja et unaleta upuuzi wako hapa.
Mama yako kavunja ungo nimzalishe et ee,?