Hivi yule mchumba wangu tuliokuwa tuna kupiga nae exile yupo wapi?unajua kuna watu moments nilizokua nao siwezi kuzsahu, mmoja wao ni wewe aseee..hadi nabaki nacheka zile exile tulizokua tunapigishana. Btw ahsante
Haahaa wengine si tuko fungu la kukosa nilikua najipa matumaini labda nitapata nafasi ila wapiii Ice kakaza..jamaa sijui wapi siku hizi kabisaHivi yule mchumba wangu tuliokuwa tuna kupiga nae exile yupo wapi?
Ni kitambo daah, ulikuwa unatia huruma unaishia kuchungulia tuu.
I don't think tunajuana, piaseem like that though i don't have clue with that
ile kipindi ilikuwa raha sana.Haahaa wengine si tuko fungu la kukosa nilikua najipa matumaini labda nitapata nafasi ila wapiii Ice kakaza..jamaa sijui wapi siku hizi kabisa
YeahMybe. it's weird though....
Sawa my Johnny nitakusikilizisha sauti yangu.Utakua wa kwanza kunipatia zawadi Yemie
Saa moja moja hivi.Niambie muda ganii
Kumbe ndio mondray!! Alikuwaga kimeoooTeh
Mondray alkua ana matus huyu mtu ni balaa
Haki nimechekaunataka uandae kabisa??haya mamii nasubiri niambie utatumia voda au airtel