Happy Birthday Nguruvi3..

.................................................................................................................................................
 
Thanks Mshikachuma. JF kama ulivyosema imesheheni, ukienda MMU, Wageni n.k utapata kitu cha kufikirisha kama si kuvunja mbavu. Pamoja mkuu.
 
Tunajuana kaka, tena we hii tabia unaipenda, ya kuwahi watu mlangoni kabla hawajajua kinacho endelea. Kule jukwaa la utambuzi ndio kwako.
Ha ha ha ha ha! Nimepata malalamiko eti anakusanya zawadi halafu anampa Afrodenz anasepa nazo, mimi nipo kwenye stroller leo
 
Happy Birthday Nguruvi3.....Mungu akuzidishie na akuongoze...karibu Black Label na nyama ya kuchoma...
 
Hongera Nguruvi. . .ubarikiwe miaka mingine ya kukutosha hapa duniani.
 
Ha ha ha ha ha! Nimepata malalamiko eti anakusanya zawadi halafu anampa Afrodenz anasepa nazo, mimi nipo kwenye stroller leo

Ha ha ha haaah!! Hao haters usiwasikilize, zawadi zako ziko salama kabisa.
 
HAPPY BIRTHDAY NGURUVI3!
Mungu akujalie usherehekee hii na nyengine nyingi zijazo kwa Uzima na Furaha!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…