Happy Birthday mimi

Mu-sir

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
3,621
Reaction score
1,640
Nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu na wazazi kwani ni siku ambayo nilikuja Duniani miaka 25 iliyopita. Napenda kujipongeza na kuwashukuru wote walionitakia Siku hii kuu njema na Nawapenda wote. Updates baada ya kutafakari sana nimeamua kusherekea siku hii kwa kuichangia JF pia. Naomba mkuu Invisible nipe utaratibu wa kuchangia kwa Mpesa
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kuzaliwa, mungu akujalie miaka mengine kama hiyo mara 3 yake au hata 4
 
Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwako...
 
HBD...miaka 25 bado una mda wa kutosha kujitafakari ktk kufikia malengo yako.
 
Nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu na wazazi kwani ni siku ambayo nilikuja Duniani miaka 25 iliyopita. Napenda kujipongeza na kuwashukuru wote walionitakia Siku hii kuu njema na Nawapenda wote.

hongera sana kwa kupunguza miaka yako ya kuishi. Nakuombea Mungu akupe baraka na hekima ili uitimize miaka yote uliyoahidiwa.
 
hongera na Mungu azidi kukupa afya njema na mafanikio katika maisha yako yote
pokea kakeki kadogo leo function iko wapi bestito?

Nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu na wazazi kwani ni siku ambayo nilikuja Duniani miaka 25 iliyopita. Napenda kujipongeza na kuwashukuru wote walionitakia Siku hii kuu njema na Nawapenda wote.
 
Nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu na wazazi kwani ni siku ambayo nilikuja Duniani miaka 25 iliyopita. Napenda kujipongeza na kuwashukuru wote walionitakia Siku hii kuu njema na Nawapenda wote.
heri ya kuzaliwa bwana mdogo..
 
Hongera sana,kwanini usingezaliwa tarehe 25 kabisa ili sherehe iwe nzuri zaid(just joking)
 
hongera na Mungu azidi kukupa afya njema na mafanikio katika maisha yako yote
pokea kakeki kadogo leo function iko wapi bestito?

View attachment 128322

Asante best ladyfurahia kwa keki, Leo nitakuwa maeneo ya Breakpoint Kijito Nyama nijipongeze kidogo lakini kabla ya hapo nitazungukia kwa ndugu na jamaa wenye uhitaji niwape kidogo na wao
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…