Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
I try my best dear.. Jana ile "voice mail" kumbe yupo hoi na mafua (hadi yalinishuka) good thing leo ni nafuu saana. I hope umefurahi kaja, nimemuambia lazima ajikaze ariport hii mahala...
Sweetie mbona glass ya lime water haipungui?? utaniudhi sasa hivi....
Lol babe si nabaki nakuangalia tu....na sina dalili za kuchoka...lol....haya mafua nadhani yataisha yenyewe maana dalili za mimi kupandishwa ndege sizioni...thanks for being there jamani....nitapona tu...lol