Nilivyo kambea, hata usingenambia LOL
Na haka kabethdei gel kameshapokea zawadi yangu au kameuchuna? Kama vipi nirudishie madolari yangu bana!
Usijali dear... Na nimempigia simu nimekuta voice mail (eti mida ya lunch hii jamani.... VOICE MAIL??) Mtanisamehe ngoja nimfuate jamani nawaacha kidogo Khaaa!! maana hapa "Abiria linda Mzigo wako" lol
Happuch you are the baby... Hivo queen of the day... Whatever you say ni AMRI kwangu (hata kwa Shem) hivo naomba unipe masaa mawili ni-deal na Sweetie... narudi hapa.... Jipange na amua lini utakua na nafasi - kwa shopping bora Fridays sababu Weekends kuna watu wengi mno! So siku chagua dear....
Thanks too KEREN_H!Thank you so much Willbald.
Be blessed.
aaisee Michelle naomba jibu hizi salamu dear kabla hujakimbia.... Mzima wewe??
mimi hiyo keki ndiyo imetoa udenda! Keren kila la kheri katika kuzaliwa kwako upya lakini mambo mawili ya kujifunza, pima wapi umejikwaa ili iwe changamoto siku zijazo na pili samehe waliokukosea ili uishi kwa amani zaidi. Mwisho mungu akupe maisha marefu yenye baraka na mafanikio tele. Hb keren.
Thank my dear. I had good time with you.
Kwa habari ya huo "mtoko", nakusubiria uweke mipango, for sure will not miss that one.
About shopping, I love shopping. Thank you so much for the beautiful gift from your sweet....waoo that is good, I love it. And, thank you for the the gift from your shem.........naona shem wako mambo yake yako super..... Sasa tunaenda lini shopping???!!!
Dah! Keren hili neno limekaa kama tusisijui kama linapatikana kwenye kamusi labda kamusi ya 2013
He he he....nilikimbia kweli,ndo nimerudi....sijambo dearest!! Birthday ya Keren iliendaje??
Missed the day. But the good wishes are for always.
Tooo uuuu caren
may god bless uu to blow
twice candles ur age!!!! Bwna akujaze!!!!lakini simaanishi mi......mba!lv u
Thank you dearest. Ila ujue nilikukosa sana jana...Usiache basi kupitia hm, kuna kipande cha keki nimekuwekea...
Ooh Sorry dearest....ndo nilikuwa nashughulika na rufaa ya muhimili mmoja ili niende na miye kwa wana apolo.....nina mafua......lol
kipande changu cha keki nakipitia usijali asante sana ubarikiwe
Proved: Hommie is the luckiest guy in Africa!
With this compliment: This thread is officially Closed!!!aisee.......nione baadaye kuna zawadi yako maalum kwa hii yuziful post...... (and sweeetie is my lucky star)
Okay dearest.............all the best na hiyo rufaa na pole sana kwa mafua..........hope my dear AD anakutake care vizuri........soon you will be fine.
Enjoy your day.
With this compliment: This thread is officially Closed!!!
Need I Say More?
Let the God decorate each golden ray of the sun reaching u with wishes of success,
happiness and prosperity 4 u, wish you a super duper happy birthday.
Okay dearest.............all the best na hiyo rufaa na pole sana kwa mafua..........hope my dear AD anakutake care vizuri........soon you will be fine.
Enjoy your day.
Ooh yeah she is the best..maana siku hizi si unajua kila mtu akienda kwenye muhimili wa taifa pale, anakatiwa rufaa ya kwenda kwa kina ponjoro.....lol